Saturnus : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza eu:Saturno (mitologia) |
Minor fix using AWB |
||
Mstari 1:
[[Picha:GiorcesBardo6.jpg|thumb|250px|Sanamu hii ya Saturnus imepatikana katika Tunisia yaonyeshwa katika makumbusho ya Bardo]]
'''Saturnus''' ni jina la mungu mmojawapo aliyeabudiwa katika [[Roma ya Kale]]. Aliaminiwa kuwa mungu aliyehusika mambo ya kilimo na mavuno. Alitolewa sadaka kwa ajili ya kustawi kwa mazao.
Katika masimulizi ya Waroma wa Kale Saturnus alikuwa mwana wa mungu wa mbingu [[Urano]] na mungu wa kike wa ardhi [[Gaia]]. Alimpindua babake kwa kukata uume wake. Baadaye alihofia ya kwamba watoto wake watampindua vile hivyo alikula watoto wake wote isipokuwa mwana wa sita [[Jupiter]] alifichwa mbele yake. Saturnus alipaswa kukimbia akafikia Italia alipowafundisha wenyeji elimu ya kilimo.
Sikukuu ya Saturnus iliitwa "Saturnalia" ni siku kadhaa kuanzia
Alama yake angani ilikuwa [[sayari]] ya sita yaani [[Zohari]] inayoitwa hadi leo kwa jina la "Saturn" katika lugha za Ulaya.
Siku ya [[Jumamosi]] huitwa "siku ya Saturnus" yaani Saturday hadi leo kwa [[Kiingereza]] na [[Kiholanzi]].
|