Syria : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza ba:Сирия
Minor fix using AWB
Mstari 1:
{{Infobox Countrycountry
|native_name = <span style="line-height:1.33em;"><big> الجمهورية العربية السورية </big><br />''Al-Jumhūriyyah al-ʿArabiyyah as-Sūriyyah''</span>
|conventional_long_name = <span style="line-height:1.33em;">Jamhuri ya Kiarabu ya Syria</span>
Mstari 13:
|largest_city = Dameski
|government_type = [[Jamhuri]]
|leader_titles = [[Orodha ya Marais wa Syria|Rais]]<br />[[Orodha ya Mawaziri wakuu wa Syria|Waziri mkuu]]
|leader_names = [[Bashar al-Assad]]<br />[[Muhammad Naji al-Otari]]
|area_rank = ya 88
Mstari 22:
|population_estimate = 19,043,000
|population_estimate_rank = ya 55
|population_estimate_year = Julai 2005
|population_census =
|population_census_year =
|population_density = 103
|population_densitymi² = 267 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
Mstari 33:
|GDP_PPP_per_capita = $5,348
|GDP_PPP_per_capita_rank = ya 101
|sovereignty_type = [[Uhuru]]
|sovereignty_note = kutoka [[Ufaransa]]
|established_events = Ilitangazwa (1)<br />Ilitangazwa (2)<br />Ilitambuliwa
|established_dates = <br />Septemba [[1936]]<sup>1</sup><br />[[Januari 1 Januari]] [[1944]]<br />[[Aprili 17 Aprili]] [[1946]]
|HDI = - 0.716
|HDI_rank = ya 107
Mstari 43:
|currency = [[Lira ya Shamu]]
|currency_code = SYP
|country_code =
|time_zone = [[Eastern European Time|EET]]
|utc_offset = +2
Mstari 50:
|cctld = [[.sy]]
|calling_code = 963
|footnotes = <sup>1</sup> Mkataba kati ya Ufaransa na Syria ya 1936 haikutambuliwa awali na Ufaransa.
}}
[[Picha:Sy-map.png|left|thumbnail|250px|Ramani ya Syria]]
'''Syria''' ([[Kiar.]]:<big> سوريا </big> au <big> سورية </big>) ni nchi ya [[Mashariki ya Kati]] au [[Asia ya Magharibi]]. Imepakana na [[Lebanon]], [[Israel]], [[Yordani]], [[Iraq]] na [[Uturuki]]. Kuna pwani la [[Mediteranea]]. Nchi inatajwa pia kwa jina la "[[Shamu]]" katika maandiko ya [[Kiswahili]] ingawa neno hili lamaanisha zaidi eneo la kihistoria ambayo ni kubwa zaidi kuliko Syria ya leo.
 
Syria ya kisasa imepatikana kama nchi ya kujitawala tangu [[1936]] kwa ngazi mbalimbali hadi kukamilisha uhuru wake [[1946]]. Kati ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] na uhuru wake ule ilikuwa kama nchi lindwa chini ya Ufaransa kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]], na kabla ya 1918 ilikuwa sehemu ya [[Dola la Uturuki]]. Katika nyakati za kale ilikuwa kitovu cha dola la kwanza la Waarabu na mji mkuu Dameski ilikuwa makao ya ma[[khalifa]] [[Wamuawiya]].
 
Syria imetawaliwa na chama cha [[Baath]] na rais ni [[Bashar al-Assad]].
Mstari 76:
* [[Tartus]]
 
Wasyria walio wengi ni Waislamu Wasunni lakini kuna pia 10% Wakristo. Wayahudi wamekuwa wachache sana kutokana na ugomvi kati ya Waarabu na Israel. Waislamu walio wengi ni Wasunni. Kuna pia wafuasi wengi kidogo cha aina ya [[Washia]] wanaoitwa "Waalawi".
 
Lugha ya Kitaifa ni Kiarabu. Kuna pia maeneo penye Wakurdi, Waturuki, Waaramu na wengine.
 
Syria ilishiriki katika vita za Waarabu dhidi ya ISrael. Sehemu ya Mkoa wa Qunaytrah zimekaliwa na Israel tangu 1967.
Mstari 85:
* {{en}} [http://www.cafe-syria.com/Government.htm Tovuti rasmi]
 
{{asiaAsia}}
{{mbeguMbegu-jio-Asia}}
 
[[Jamii:Syria]]