T. S. Eliot : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza ckb:ت. س. ئیلیۆت
Minor fix using AWB
Mstari 1:
[[Picha:T.S. Eliot, 1923.JPG|thumb|T. S. Eliot]]
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
{{commonsCommons category|Category:Thomas Stearns Eliot|T.S.Eliot}}
'''Thomas Stearns Eliot''' ([[26 Septemba]], [[1888]] – [[4 Januari]], [[1965]]) alikuwa mwandishi kutoka nchi za [[Marekani]] na [[Uingereza]]. Alizaliwa Marekani lakini alikata uraia wa Uingereza mwaka wa 1927. Hasa aliandika mashairi. Shairi lake "Nchi Kame" (kwa Kiingereza ''The Waste Land'') lilitolewa mwaka wa 1922. Mwaka wa 1948 alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Fasihi'''.
 
{{mbeguMbegu-mwandishi}}
 
{{DEFAULTSORT:Eliot, Thomas Stearns}}