Thabo Mbeki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.6.5) (Roboti: Imebadilisha: hi:ठाबो म्बेकि
Minor fix using AWB
Mstari 1:
[[Picha:ThaboMbeki.jpg|thumb|right|Thabo Mbeki]]
 
'''Thabo Mvuyelwa Mbeki''' (amezaliwa [[18 Juni]], [[1942]]) alikuwa [[Rais]] wa nchi ya [[Afrika Kusini]] tangu [[14 Juni]], [[1999]] hadi [[24 Septemba]], [[2008]]. Alimfuata [[Nelson Mandela]].
 
Mbeki alilelewa katika familia ya [[Waxhosa]] katika jimbo la [[Rasi Mashariki]]. Wazazi walikuwa walimu wa shule na wanachama wa [[ANC]].
Mstari 15:
Katika Desemba 2007 Mbeki aligombea tena nafasi ya mwenyekiti wa ANC lakini alishindwa na [[Jacob Zuma]]. Zuma pia alimfuata Mbeki kama Rais wa Afrika Kusini baada ya uchaguzi wa 2009.
 
==Viungo vya Njenje==
[http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/3499695.stm BBC kuhusu Thabo Mbeki]