Utamaduni : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza as:সংস্কৃতি
Minor fix using AWB
Mstari 2:
[[Picha:Ägyptischer Maler um 1400 v. Chr. 001.jpg|thumb|Misri ya kale sanaa, 1400 KK]]
[[Picha:Mehmooni2.jpg|thumb|The Kiajemi Hasht-Behesht Palace]]
'''Utamaduni''' (neno la [[Kilatini]] lenye maana ya utamaduni ni ''Cultura'' ambalo lina usuli wake katika neno ''colere,'' linalo maanisha "kulima")<ref> Harper, Douglas (2001). [http://www.etymonline.com/index.php?term=culture Online Etymology Dictionary]</ref> Neno hili lina fafanuzi nyingi. Kwa mfano, mnamo mwaka 1952, [[Alfred Kroeber]] na [[Clyde Kluckhohn]] walikusanya orodha ya vijelezi 164 vya neno "utamaduni" katika kazi yao'': Culture:a Critical Review of Concepts and Definitions.'' <ref> Kroeber, AL na C. Kluckhohn, 1952. ''Utamaduni: A Critical Review wa Concepts na Definitions.'' </ref> Hata hivyo, neno "utamaduni" linatumika kimsingi katika njia tatu zifuatazo:
 
* Maonjo ya hali ya juu katika [[sanaa]], vilevile hujulikana kama utamaduni wa juu
Mstari 12:
 
== Diskosi za karne ya 19 ==
 
=== Ulimbwende wa Kiingereza ===
[[Picha:Matthew Arnold - Project Gutenberg eText 16745.jpg|thumb|left|upright|Mshairi na mwandishi wa insha wa Kingereza Matthew Arnold alitumia neno "utamaduni" kumaanisha hali ya juu sana ya ubora wa binadamu.]]
Line 23 ⟶ 22:
 
 
Matthew Arnold alilinganisha "utamaduni" na "fujo;" Wazungu wengine wakiwaiga wanafalsafa Thomas Hobbes na Jean-Jacques Rousseau walilinganisha "utamaduni" na "hali ya maumbile au hali ya nyikani." Kulingana na Hobbes na Rousseau. Wamarekani asilia ambao walitawaliwa na Wazungu kutoka Ulaya kuanzia karne ya 16 kuendelea, walikuwa wakiishi katika hali ya kimaumbile ndipo ikaleta mlinganisho wa "waliostaarabika" na "wale ambao hawakuwa wamestaarabika." Kwa mujibu wa mkabala huu wa mawazo unaweza kuainisha nchi na mataifa katika yale yaliyostaarabika kuliko mengine au watu waliostaarabika kuliko wengine. Milinganisho hii ilichangia katika kuzuka kwa nadharia ya Social Darwinism ya Herhert Spencer na Cultural evolution ya Lewis Henry Morgan. Jinsi baadhi ya wakosoaji wanavyosema kuwa tofauti kati ya tamaduni za juu na za chini, kwa kweli ni usemi wa mgogoro kati ya wasomi wa Ulaya na wasio wasomi, baadhi ya wakosoaji wanasema kuwa tofauti kati ya watu wastaarabu na wasio wastaarabu kwa kweli ni usemi wa mgogoro kati ya madola ya kikoloni ya Ulaya na watawaliwa wao.
[[Picha:Edward Burnett Tylor.jpg|thumb|left|upright|Mwanaanthropolojia wa Kiingereza kwa jina Edward Taylor ndiye aliyekuwa mtaalamu wa kwanza wa asili ya kiingereza kutumia neno utamaduni kwa usawa na kwa ubia.]]
 
Line 44 ⟶ 43:
 
== Diskosi za karne ya ishirini ==
 
=== Anthropolojia ya Kimarekani ===
Ingawa wanaanthropolojia ulimwenguni huurejelea ufafanuzi wa Taylor,katika karne ya ishirini dhana ya utamaduni ilijitokeza kama mhimili wa Anthropolojia ya Kimarekani,ambapo utamaduni ulifafanuliwa kama uwezo wa kiubia wa binadamu wa kuainisha na kusimbika tajiriba zao kiishara na kuwasilisha kiishara tajiriba zilizosimbikwa kijamii. Anthropolojia ya Kimarekani imepangiliwa katika mawanda manne. Kila mojawapo huchangia sana katika utafiti wa utamaduni. Mawanda yenyewe ni: Anthropolojia ya kibayolojia, Isimu, anthropolojia ya kitamaduni, na Akiolojia. Utafiti katika mawanda haya umewaathiri kwa kiwango fulani wanaathropolojia wanaofanya kazi katika nchi zingine.
 
 
 
==== Anthropolojia ya kibayolojia: ukuaji wa utamaduni ====
Line 68 ⟶ 64:
# Yule anayepata mpangilio huu ahifadhi uwezo wa kuutenda baada ya kuupata.
# Mpangilio usambae kotekote katika makundi ya kijamiii vya watu. Makundi hayo yanaweza kuwa familia,koo,vikosi vya majeshi au bendi.
# Mpanglio unavuka mipaka ya vizazi.<ref name="autogenerated6"/>
McGrew anaungama kuwa kigezo hiki cha hatua sita kinaweza kuwa kigumu kutokana na ugumu wa kuchungua tabia za nyani wakiwa wameghadhabika. Lakini anasistiza umuhimu wa ufafanuzi wa utamaduni "ulio mpana":
<blockquote>Utamaduni unachukuliwa kuwa tabia ya kikundi fulani mahsusi inayopatikana kutokana na athari za kijamii. Hapa kikundi kinachukuliwa kuwa kipashio halisi cha spishi iwe kikosi cha askari, ukoo, au kijikundi. ''Prima facia'' Ushahidi hasa wa utamaduni unatoka ndani ya spishi lakini unaweza kutolewa katika kikundi kizima pale tofauti za kitabia zinapodhihirika kwa mfano ikiwa mpangilio ni uleule katika jumuia moja ya sokwe lakini haupo katika jumuia nyingine au wakati ambapo jumuia tofauti zinapotenda aina tofauti za mpangilio mmoja. Pendekezo la utamaduni katika vitendo lina uzito pale tofauti katika kikundi haziwezi kuelezewa na mambo ya kiekolojia ....<ref> WC McGrew 1998 "Utamaduni katika Nonhuman Primates?" ''Annual Review of Anthropology'' 27: 305</ref></blockquote>
Line 74 ⟶ 70:
 
 
[[Picha:Lucy blackbg.jpg|thumb|upright|left|Cast ya skeleton ya Lucy, an Australopithecus afarensis]]
[[Picha:Humanevolutionchart.png|thumb|left|Mmoja sasa mtazamo wa kidunia na usambazaji wa kijiografia hominid wakazi]]
Hata hivyo istilahi “utamaduni” inaweza kuwahusu wanyama wasio binadamu ikiwa tutafafanua utamaduni kama tabia zozote au zote zilizoigwa au kufundishwa. Katika anthropolojia halisi wasomi hudhania ya kwamba ufafanuzi uliobanwa ndio unaofaa. Watafiti hawa wanajihusisha na namna binadamu walivyokuwa na hata kuwa tofauti na spishi zingine. Ufafanuzi wa uhakika kabisa wa utamaduni ambao unapuuza tabia za kijamii ambazo si za kibinadamu utawaruhusu wanaathropolojia kuchunguza jinsi binadamu walivyokuza uwezo wao wa kipekee wa “utamaduni”.
Line 81 ⟶ 77:
Sokwe ''(Pan troglodytes'' na ''Pan paniscus)'' wana uhusiano wa karibu sana na binadamu '''(homo sapiens)'' wote hawa walitokana na babu mmoja aliyeishi miaka ipatayo milioni tano au sita iliyopita. Huu ndio muda ambao farasi na pundamilia, simba na simba marara, na panya walichukua kutoka kwa babu yao. <ref> M. Mfalme na A Wilson 1975 "Evolution katika ngazi mbili: katika wanadamu na chimpanzees" ''Sayansi ya'' 188: 107-116</ref> Ukuaji wa binadamu wa kisasa ni wa haraka sana: ''[[Australopithicenes]]'' walikua miaka milioni nne zilizopita na binadamu mamia kadhaa ya miaka iliyopita.<ref> Stringer na ''Afrika'' McKiew 1996 ''Kutoka: Asili ya Ubinadamu ya kisasa.'' London: Cape</ref> Wakati huu binadamu walikuza sifa tatu bainifu:
 
: (a) ubunaji na matumizi ya ishara zikiwemo ishara za kiisimu, lugha andishi ilivumbuliwa pamoja na ishara za hisabati, muziki n.k (b)ubunaji na matumizi ya vifaa changamano pamoja na teknolojia zilizotumia vifaa (c)ubunaji na kushiriki katika mipangilo na asasi changamano.<ref name="autogenerated2"> Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika ''Annual Review of Anthropology'' ujazo. 28: 510</ref>
Kulingana na mwanasaikolojia maendeleo Michael Tomasello ni vigumu sana kuelezea "chimbuko la tabia na stadi" hizi. Maadam binadamu wa sasa na sokwe wanatofautiana sana ikilinganishwa na farasi na pundamilia, au panya. Ukuaji wa tofauta hizi umejiri katika muda mfupi, “ni lazima tutafute tofauti ndogo ambazo zitaleta tofauti kubwa - uasilishaji wa kiwango fulani au viwango vidogo vya uasilishaji, ambavyo vimebadili mchakato wa ukuaji wa kifikira wa nyani kwa njia madhubuti sana." Kulingana na Tomasello, jibu kwa swali hili ni lazima liunde msingi kwa ufafanuzi wa kisayansi wa "utamaduni wa binadamu."<ref name="autogenerated2"/>
 
Line 88 ⟶ 84:
 
 
[[Picha:chimpanzee mom and baby.jpg|upright|thumb|Sokwe mama na mtoto]]
[[Picha:BonoboFishing05.jpeg|thumb|Sokwe huchimba wadudu]]
[[Picha:Jigokudani hotspring in Nagano Japan 001.jpg|thumb|Makaku wa Japani katika chemchemi ya moto ya Jigokudani, Nagano]]
Line 97 ⟶ 93:
 
 
Masokwe hudhihirisha matumizi mbalimbali ya kutumia vifaa: uvuvi wa mchwa, kutovua, kutoogelea, kuvunja kokwa, na kuoga kwa kutumia majani. Sokwe wa Gombe huvua mchwa wakitumia vijiti vidogo lakini sokwe wapatikanao Afrika Magharibi hutumia vijiti vikubwa kutoboa mashimo katika vichuguu kisha wakatumia mikono yao kutoa mchwa. Baadhi ya tofauti hizi zinaweza kuwa zinatokana na maumbile ya kimazingira (kuna mvua nyingi Afrika Magharibi, vichuguu viororo ambavyo huweza kupasuka kwa urahisi ukilinganisha na mbuga ya Gombe huko Afrika ya Mashariki. Hata hivyo sokwe wanaonekana kumudu vizuri mafunzo ya kuiga kwa hiari. Watoto wa sokwe wanafahamu vizuri namna ya kubingirisha mashina ya miti na kula wadudu. Watoto wanapowaona mama zao wakibingirisha mashina ya miti ili kula wadudu walio chini yake, wao vilevile hujifunza kufanya hivyo. Njia hii ya kujifunza huimarisha sana mambo ambayo tayari watoto wanafahamu.<ref name="autogenerated5"/><ref> Michael Tomasello 1996 "Je Apes Hominidi?" katika ''Social Kujifunza katika Wanyama: The Roots ya Utamaduni'' ed. C. Heyes na B. Galef. New York: Academic Press. uk: 319-346</ref>
 
 
[[Picha:MaternalBond.jpg|thumb|left|Mama na mtoto]]
[[Picha:Eskimo Family NGM-v31-p564-2.jpg|thumb|left|Inuit familia]]
[[Picha:Khotan-mercado-chicas-d01.jpg|thumb|left|Wasichana katika Xinjiang katika Northwestern Uchina]]
Line 108 ⟶ 104:
 
 
Ukuzaji wa stadi katika makini ya pamoja kufikia mwishoni mwa mwaka wa kwanza wa mtoto hutoa msingi wa ukuzaji wa mafunzo ya kuiga katika mwaka wa pili. Katika utafiti uliohusu watoto wa miezi kumi na minne watoto hao waliuiga mtindo wa mtu mzima wa kuzima taa hata ingawa wangeweza kutumia njia rahisi kutenda kitendo hicho.<ref> WC Meltzoff 1988 "Infant kuiga baada ya wiki moja kuchelewa: kumbukumbu ya muda mrefu kwa vitendo na riwaya nyingi uchochezi" katika ''Developmental Psychology'' 24: 470-476</ref> Na katika utafiti mwingine uliohusisha watoto wa umri wa miezi 16 waliotangamana na watu wazima na kubadilishabadilisha mkururo changamano wa miendo iliyoonekana kuwa ya maksudi ikilinganishwa na ile iliyojiri kiajali; watoto hawa waliiga ile miendo ilioonekana kuwa ya kiajali.<ref> M. Seremala, N. Akhtar, M. Tomasello 1998 "umri wa miezi kumi na sita wachanga differentially avsiktliga na ajali kuiga matendo" katika ''Infant Maendeleo kitabia'' 21: 315-330</ref> Na katika utafiti uliowahusisha watoto wa umri wa miezi 18 ilionekana kuwa watoto waliiga vitendo ambavyo watu wazima walikusudia kufanya ingawa kwa namna moja walishindwa kufanya.<ref> A. Meltzoff 1995 "Kuelewa nia ya wengine: re-enactment ya lengo vitendo kwa 18-month-old watoto" katika Developmental Psychology ''31: 838-850'' </ref>
Tomasello anasistiza kuwa kujifunza huku kwa kuiga ‘kimsingi kunategemea sana tabia ya watoto ya kujitambulisha na watu wazima na uwezo wao wa kutofautisha malengo ya vitendo vya watu wengine na njia zilizotumika kuyafikia malengo hayo."<ref> Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 514</ref> Anakuita kujifunza kwa aina hii kujifunza kwa kitamaduni kwa sababu mtoto hajifunzi tu kuhusu vitu kutoka kwa watu wengine bali anajifunza kupitia kwao - ni lazima afahamu kitu kuhusu mtazamo wa watu wazima kuhusu hali fulani ili aweze kujifunza matumizi ya tendo lilokusudiwa." <ref> Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 515</ref> <ref> Tomasello, M., Kruger, A. &amp; Ratner, H. 1993 "Utamaduni wa kujifunza" ''Behavioral na Brain Sciences'' 16, 495-552</ref> Anahitimisha kwamba sifa kuu ya kujifunza kwa kitamaduni ni kuwa hufanyika tu wakati ambapo mtu anapowaelewa watu wengine kama mawakala wa makusudi kama wana mtazamo fulani kuhusu ulimwengu unaoweza kufuatwa, kuelekezwa na wa pamoja.<ref> Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 516</ref>
 
Line 124 ⟶ 120:
 
 
Katika mtazamo wa Holloway mababu wa viumbe wasio binadamu kama vile sokwe na nyani, wengine walikuwa na stadi sawa za fahiwa, kutaka kujua, kumbukizi na werevu. "Tofauti labda huwa katika viwango. “Ni wakati sifa zinapowekwa pamoja na ishara, pamoja na hali ya kulazimishiwa ndipo utamaduni wa binadamu hudhihirka.”<ref> Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 399.</ref>
 
: Nimependekeza hapo juu kuwa uwe utamaduni wowote uwao, “unahusisha kuwekelewa hali fulani ambazo hazina sababu kwa mazingira." Usemi huu una vyambajengo viwili. Kwanza ni kutambua kwamba uhusiano uliopo baina ya mchakato wa kusimba na kinachosimbwa (iwe ni kifaa, mtandao wa kijamii au dhana dhahania) siyo tanakali. Nyingine ni wazo kwamba binadamu ni kiumbe anayeweza kufanya mifumo isiyo ya kweli ifanye kazi - Ni yule anayelazimishia mambo yake ya kifantasia, mawazo yasiyo ya kitanakali kwa mazingira. Mazingira yaliyobadilika hubadilisha mitazamo yake na haya tena yanalazimishiwa kwa mazingira na kujumulishwa tena katika mazingira hayo na kung’ang’ania zaidi uasilisho.<ref> Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika ''Hali Anthropology'' 10 (4): 395.</ref>
 
 
Line 140 ⟶ 136:
Wanaisimu [[Charles]] [[Hockett]] na R Ascher wametambua sifa kumi na tatu zizoundwa za lugha, baadhi zinatumiwa pamoja na hali nyingine za mawasiliano ya wanyama. Sifa moja ambayo inatofautisha lugha ya binadamu ni hali yake ya juu ya uzalishi; kwa maneno mengine, wasemaji walio na umilisi mzuri wa lugha wana uwezo kutoa matamko asilia yasiyohesabika. Uzalishaji huu inaelekea unawezekana kupitia sifa chache muhimu sana ambazo hubainika tu katika lugha ya binadamu. Moja ni “uwili wa mabombwe”,hii ni kumaanisha ya kwamba huhusisha utamkaji wa michakato mingi bayana, kila mchakato huwa na sheria zake: kuunganisha fonimu kuunda mofimu, kuunganisha mofimu kuunda maneno na kuunganisha maneno kuunda sentensi. Hii ni kumaanisha ya kwamba mtu anaweza kubwiya ishara na sheria chache kuunda vipashio vingi vya lugha. Elementi nyingine muhimu ni kuwa lugha ya binadamu hutumia ishara: sauti za maneno (au maumbo yao, zinapoandikwa) hazina uhusiano wowote na kile yanacho kiwakilisha.<ref> CF Hockett na R. Ascher 1964 "The Human Mapinduzi" katika ''Hali Anthropology'' 4: 135-168.</ref> Kwamba maneno yana maana ni suala la ukubalifu. Kwa kuwa maana ya maneno ni ile ambayo haijapangwa. Neno lolote linaweza kuwa na maana nyingi, na kitu fulani kinaweza kurejelewa kwa kutumia maneno mbalimbali. Neno lenyewe linalotumiwa kuelezea kitu hutegemea muktadha, lengo la msemaji, na uwezo wa msikilizaji wa kupima haya kikamilifu. Kama aelezavyo Tomasello,
 
: Mtumizi wa lugha moja huutazama mti kabla ya kutaka makini ya mzungumziwa kuhusu huo mti. Ni lazima aamue kutegemea alivyoyapima maarifa na matarajio ya mzungumziwa, kama atasema “mti ule pale” “huo”, “ni wa aina ya oak”, “mti huo una miaka mia moja”, “mti wa bagswing”, “hicho kitu kilicho mbele”, “pambo”, “fedheha”, au idadi yoyote ya matamko ... Na maamuzi haya hayafanywi kwa mujibu wa lengo la msemaji la moja kwa moja kuhusiana na kitu au shughuli husika bali yanafanywa kwa mujibu wa lengo lake kuhusiana na mapendeleo ya msikilizaji kuhusu kitu au shughuli.
Hii ndiyo maana uelewaji wa kiishara na mawasiliano pamoja na kujifunza kwa kuiga unaendana.<ref> Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika ''Annual Review of Anthropology'' ujazo. 28: 517.</ref>
 
Line 146 ⟶ 142:
Holloway anadai kuwa vifaa vya mawe vinavyohusishwa na ''homo'' Homo vina sifa sawa na lugha ya binadamu:
 
: Nikirejea tena kwenye masuala ya sintaksi, sheria na shughuli zilizotajwa hapo juu, takribani kila ruwaza inayoelezea mchakato wa lugha inaweza pia kutumiwa kuelezea kutengeneza vifaa. Hili si jambo la kushangaza. Shughuli zote zilizojumuishwa pamoja zina sheria thabiti kupangilia shughuli za vipashio vyake (sarufi, sintaksi) yote ni mifumo iliyo na mpangilio kuanzia kipashio kikubwa hadi kidogo (kama ilivyo katika shughuli za mwendo). Zote hutoa mipangilio inayozuka kinasibu ambayo huwa sehemu ya mazigira ama kwa muda mufupi au hudumu.<ref> Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika ''Hali Anthropology'' 10 (4): 401</ref>
:: Shughuli zote zilizojumuishwa pamoja zina sheria thabiti kupangilia shughuli za vipashio vyake (sarufi, sintaksi) yote ni mifumo iliyo na mpangilio kuanzia kipashio kikubwa hadi kidogo (kama ilivyo katika shughuli za mwendo). Zote hutoa mipangilio inayozuka kinasibu ambayo huwa sehemu ya mazigira ama kwa muda mufupi au hudumu. ''Elementi za “msamiati” wa kimsingi wa operesheni za mwendo-vibanzi vilivyomomonyoka mahali, kujitenganisha, mzunguko, maandalizi ya jukwaa linalopendeza na matumizi mengine tofauti.'' . . . Ukichukua tendo lolote la mwendo kivyake; hakuna kitendo kimoja ambacho kimekamilika; kila kitendo kinategemea kilichotangulia na kinahitaji kitendo kingine zaidi na kila kimojawapo kinategemea sana mpango asilia. Kwa maneno mengine katika kila hatua ya kitendo isipokuwa ya mwisho, kazi yote si ya “kuridhisha” katika muundo. Kila kitendo cha kipashio hakina maana kivyake kwa mujibu wa matumizi ya kifaa; kina maana tu katika muktadha wa katika seti yote iliyokamilika ya matukio ambayo hatimaye huwa bidhaa ya mwisho. Hali hii ni sawa kabisa na ile ya lugha.<ref> Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika ''Hali Anthropology'' 10 (4): 402</ref>
 
 
Kama Tomasello alivyodhihirisha, fikira za kiishara zinaweza kutukia tu katika mazingira mahusi ya kijamii:
 
: Ishara ambazo hazina mpangilio hushindilia makubaliano ya mitazamo, ambazo haziwaruhusu tu wanachama kuwasiliana kuhusu vitu vilevile kulingana na mahali na wakati (kama vile wakati wa kuwinda) lakini vilevile inawezesha mahusiano ya kijamii kusawazishwa na kurekebishwa kupitia kwa ishara. Inamaanisha kuwa tofauti zinazozuka huweza kushughulikiwa. Na kwa kushindilia mtazamo usiobadilika, ishara hushindilia tabia za kijamii ambazo hazibadiliki, na kuwa kushindilia tabia za kijamii ambazo hazibadiliki ni sharti la kutofautisha dhima katika vikundi vya kijamii ambavyo havijiasilishi tu katika mazingira ya nje lakini hata kwa wanachama wake.<ref> Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika ''Hali Anthropology'' 10 (4): 406.</ref>
 
 
[[]]Mwanaanthropolojia wa kibayolojia Terrence Deacon katika mkusanyiko wake wa miaka ishirini ya utafiti kuhusu ukuaji wa binadamu, nurolojia ya kibinadamu, na primatolojia anaelezea hii athari ya ratchet kama namna ya ‘ukuaji wa Kibaldwin.” ambao umepata jina kutoka kwa mwanasakolojia, James Baldwin. Hii huelezea hali ambamo tabia ya mnyama inaweza kuwa na matokea ya kiukuaji mnyama anapobadilisha mazingira yake halisi na hivyo nguvu fulani zinazoathiri mnyama huyo.<ref> Terrence Shemasi 1997 ''ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain'' New York na London: WW Norton, s. 322</ref>
 
: Pale tabia Fulani muhimu zinaposambaa katika kikundi na kuwa muhimu kwa matumizi, itasababisha shinikizo kwa tabia za urithi wa uzazi ambazo huchangia sana katika usambazaji wake ... vifaa vya mawe na taimboliki ambavyo mwanzoni vilipatikana kupitia kwa uwezo mwepesi wa nyani kujifunza. Hii iliwalazimisha watumizi kwa mtindo huo mpya wa teknolojia. Mbali na kuwa mbinu mpya, hizi tabia za kutafuta chakula na mpangilio wa jamii zimekuwa elementi za uasilisho mpya changamano. Usuli wa “ubinadamu” unaweza kufafanuliwa kama hatua katika ukuaji wetu ambapo vifaa hivi vilikuwa chanzo kikuu katika uteuzi wa mili na bongo zetu. Hii ndiyo kuelezea hali ya ''homo symbolicus.'' <ref> Terrence Shemasi 1997 ''ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain'' New York na London: WW Norton, s. 344</ref>
Kulingana na Deacon, hii ilijiri kati ya miaka milioni 2 na 2.5 iliyopita wakati tulipokuwa na ushahidi wa fosili ya kwanza ya matumizi ya vifaa vya mawe na mwanzo wa kuongezeka katika kimo cha akili. Lakini ni ukuaji wa lugha ya kiishara ambao ni kisababishi - na matokeo - cha mtindo huu.<ref> Terrence Shemasi 1997 ''ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain'' New York na London: WW Norton, s. 340</ref> Hakika Deacon anapendekeza kuwa ''Australopithecines,'' kama walivyo nyani wa sasa walitumia vifaa; inawezekana kuwa zaidi ya mamilioni ya miaka ya historia ya ''Australopithecine'' vikosi kadhaa vilikuza mifumo ya mawasiliano ya kiishara. Kilichokuwa muhimu, mojawapo ya vikundi hivi kilibadilisha mazingira yake hivi kwamba kilianzisha uteuzi wa uwezo tofauti kabisa wa kujifunza kuliko ilivyoathiri spishi zilizotangulia."<ref> Terrence Shemasi 1997 ''ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain'' New York na London: WW Norton, s. 347</ref> Kikosi au kikundi hiki kilianzisha mchakato wa Baldwin (athari ya ratchet) uliosababisha ukuaji wake kwa jenasi iitwayo ''Homo.''
 
 
Line 171 ⟶ 167:
Muhimu zaidi ni kwa kuwa wanaume na wanawake wote ni bora katika kutafuta chakula, mama wanaobeba watoto wategemezi huwa si wawindaji wazuri. Ni lazima kwa hivyo wawategemee wanaume. Hii hupendelea mfumo ambapo wanaume wanaweza kujihusisha katika ngono wakati wowote na wanawake na wanawake wanaweza kubashiri wenzao watawatafutia chakula na watoto wao. Katika spishi nyingi za mamalia, matokeo huwa mfumo wa kuorodhesha au ushindani wa kingono ambao huchangia kuwepo kwa kuoa wake wengi au kuwepo kwa mahusiano ya muda mrefu baina ya watu wanaoishi kivyao. Katika mifano yote miwili ukakamavu wa mwanaume ndiwo huchangia sana kudumishwa kwa mahusiano ya kingono. Ni upekee upi unajitokeza miongoni mwa binadamu?
 
: Hali ya binadamu kutegemea sana rasilimali ambazo hazipatikani kwa wanawake walio na watoto, haiamui tu ushirikiano baina ya mtoto na baba bali pia ushirikiano wa jamaa na marafiki wakiwemo wakongwe na vijana, ambao wanaweza kutegemewa kutoa msaada. Shuruti muhimu za kutafuta nyama na kulea watoto katika ukuaji wetu kwa pamoja huchangia sana katika sifa ya tatu ya uzalishaji wa kibinadamu: kuishi kwa ushirikiano kama kikundi.<ref> Terrence Shemasi 1997 ''ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain'' New York na London: WW Norton, uk. 386-387</ref>
Upekee ambao unadhihirika kuhusu jamii za binadamu ni kile kilichohitaji fikira za kiishara ambacho husababisha ukuaji wa utamaduni: “vikundi vya kijamii vyenye ushirikiano na jinsia za mseto ambavyo vina wanaume walezi na wanawalisha watoto na yenye mabombwe ya kujitegemea ya uzalishaji.” Mseto huu ni nadra katika spishi zingine, mfumo wao unaweza “kusambaratika kwa urahisi.” Lugha na utamaduni ndiyo huushikanisha pamoja.<ref> Terrence Shemasi 1997 ''ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain'' New York na London: WW Norton, s. 388</ref>
 
Line 177 ⟶ 173:
Sokwe vilevile mara mojamoja hivi hutafuta nyama. Mara nyingi dume huila nyama hiyo mara moja na mara mojamoja hugawana na jike ambao huwa karibu. Miongoni mwa sokwe uwindaji wa nyama huongezeka vyakula vingine vinapokosekana lakini katika hali hii kugawana chakula hupungua. Namna za mwanzo za kufikiria kiishara ziliwezesha utengenezaji vifaa. Hii ilichangia sana kwanza, uwindaji wa nyama kuwa njia ya kutegemewa sana ya kutafuta riziki ya mababu wetu wasio binadamu na wakati huohuo kuwezesha njia za mawasiliano ya kijamii ambazo ziliwezesha ugawanaji baina ya wanaume na wanawake na hivyo kudidimiza ushindani wa kingono:
 
: Kwa hivyo tatizo la kijamii kiekolojia linasababishwa na mtindo wa kuongezea nyama katika ulaji. Mtindo hauwezi kutumika bila ya muundo wa kijamii ambao unahakikisha kujamiana bila tatizo lolote na vilevile unazigatia usawa ili kudumisha ushirikiano kupitia kwa matakwa sawa au badala za uzalishaji. Tatizo hili linaweza kusuluhishwa kiishara.<ref> Terrence Shemasi 1997 ''ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain'' New York na London: WW Norton, uk. 396-397</ref>
Ishara na kufikiri kiishara inakuwa sifa ya kimsingi ya mahusiano ya kijamii miongoni mwa binadamu: kulipiza wema kwa wema. Wanasayansi ya ukuaji wamebuni [[ruwaza ]]kuelezea [[hali ya kulipiza wema ]]kwa wema bila choyo miongoni mwa watu walio na uhusiano. Mfano walidhani hufanya iwezekanavyo distantly kuhusiana usawa kati ya watu binafsi.<ref> Terrence Shemasi 1997 ''ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain'' New York na London: WW Norton, uk. 397-401</ref>
 
 
 
==== Mielekeo ya kiakiolojia: malighafi na maana ====
Line 207 ⟶ 201:
Mwaka wa 1962 Lewis Bindford, mwanafunzi wa zamani wa Leslie White alipendekeza ruwaza mpya ya akiolojia ya kiaathropolojia ambayo aliita “Akiolojia Mpya” au “Akiolojia ya Mchakato’, hii aliikita kwa ufafanuzi wa White wa utamaduni kama “njia zaidi za mwili na wala siyo akili za kujisilisha kwa kiumbe.”<ref> Lewish Binford 1962 "Archeology kama Anthropology" katika ''zamani wa Marekani 28 (2): 218; se White 1959'' The Evolution ya Utamaduni ''New York: McGraw Hill p. 8'' </ref> Ufafanuzi huu ulimwezesha Bindford kutambua akiolojia kama uwanda muhimu wa kufuatilia njia ya utafiti iliyotumiwa na Julian Steward katika ekolojia ya utamaduni:
 
: Utafiti wa kiulinganishi wa mifumo ya utamaduni na teknolojia tofauti katika masafa sawa ya mazingira au teknolojia sawa katika mazingira tofautitofauti ni njia kubwa ya utafiti ambayo Steward (1955:36-42) aliita “ekolojia ya utamaduni” na bila shaka ni njia muhimu sana ya kuongezea uelewaji wetu wa mchakato wa utamaduni. Njia kama hii ni muhimu katika kuelezea mahusiano ya kimuundo baina ya mifumo midogo ya kitamaduni kama vile ya kijamii na kinadharia.<ref> Lewish Binford 1962 "Archeology kama Anthropology" katika ''zamani wa Marekani 28 (2): 218; se Steward 1955'' Nadharia ya Utamaduni ''Change.'' ''Chuo Kikuu cha Illinois Press, Urbana.'' </ref>
 
 
Line 214 ⟶ 208:
 
Katika miaka ya 1980 kulikuwa na muungano Uingereza na Ulaya uliopinga mawazo ya akiolojia kama tawi la anthropolojia, ukiunga mkono Radcliffe-Brown ambaye hapo nyuma alikuwa amepinga anthropolojia ya kitamaduni.<ref> Patty Jo Watson 1995 "Archeology, Anthropology, na Utamaduni Dhana" katika ''American mwanaanthropolojia'' 97 (4) p.684</ref> Ni wakati huu mwanaakiolojia kutoka Cambridge Ian Hodder alibuni “mchakato wa baadaye wa akiolojia” kama njia badala. Kama Binford (na tofauti na Taylor) Hodder anayaona mabaki siyo kama vifaa vya utamaduni bali utamaduni wenyewe. Tofauti na Binford, Hodder hauoni utamaduni kama uasilisho wa kimazingira. Badala yake anajikita kwa wazo la mtiririko mzuri wa kiishara wa utamaduni wa kijadi ambamo vifaa, mabaki, yanashiriki kikamilifu katika uumbaji, uhawilisho, mabadiliko na kufifia kwa ishara changamano."<ref> Patty Jo Watson 1995 "Archeology, Anthropology, na Utamaduni Dhana" katika ''American mwanaanthropolojia'' 97 (4) uk. 687-6874</ref> Kitabu chake cha mwaka wa 1982, ''Symbols katika Action,'' kinatukumbusha kuhusu anthropolojia ya kiishara ya Geertz, Schneider na msisitizo wao juu ya maana inayotegemea muktadha na vifaa vya utamaduni kama njia badala za wazo la White na Steward kuhusu utamaduni wa vifaa.<ref> Ian Hodder 1982 ''Symbols katika hatua: ethnoarchaeological masomo ya utamaduni nyenzo'' Cambridge: Cambridge University Press</ref> Katika kitabu chake cha mwaka wa 1991, ''Reading the past: Current Approaches to interpretation in Archeology'' Hodder anadai kwamba akiolojia ina uhusiano wa karibu na historia kuliko anthropolojia.<ref> Ian Hodder 1986 ''Masomo ya zamani: sasa njia ufafanuzi katika Akiolojia'' Cambridge: Cambridge University Press</ref>
 
 
 
==== Lugha na utamaduni ====
Mwingiliano baina ya utamaduni na lugha umetambuliwa tokea enzi za urasimu na hata kabla ya hapo. Wagiriki wa kale kwa mfano walitofautisha watu waliostaarabika na barbaros “wanaobwabwaja” yaani wale ambao hawasemi lugha inayoeleweka.<ref> Baepler, Paulo. 2003. "White watumwa, African mabwana." Ya Annals wa American Academy ya Sayansi ya Siasa na 588 (1): 90-111. s. 91</ref> Kwa kuwa watu wanasema lugha ambazo hazieleweki ni ushahidi kwamba kuna tofauti za kitamaduni kuliko tabia za kitamaduni.
 
 
Line 230 ⟶ 222:
 
 
Hata hivyo, lugha, zinavyoeleweka siku hizi kama seti za kaida za lugha za jumuia fulani, vilevile ni sehemu ya utamaduni mpana wa jumuia inayosema lugha hizo. Binadamu hutumia lugha kama njia ya kuonyesha utambulisho na kikundi kimoja cha utamaduni na tofauti na vingine. Hata miongono mwa wazungumzaji wa lugha moja kuna njia nyingi za kuitumia lugha hiyo na njia hizo hutumiwa kuashiria uhusiano na kikundi fulani kidogo katika utamaduni mpana. Katika isimu, namna mbalimbali za kuitumia lugha moja huitwa “vilugha”. Kwa mfano Kingereza kinazungumzwa tofauti Marekani, Uingereza, na Australia na katika hizo nchi zinazozungumza Kingereza kuna mamia ya lahaja za Kingereza na kila lahaja hutumiwa katika eneo fulani au huwakilisha utamaduni fulani wa utamaduni mpana. Kwa mfano katika Uingereza, lahaja ya cockney huashiria kuwa wasemaji wake hutoka katika tabaka la chini la wafanyakazi wa mashariki mwa London. Tofauti katika vilugha vya lugha moja hudhihirika katika matamshi na msamiati na wakati mwingine katika mifumo ya sarufi na aghalabu katika matumizi ya mitindo mbalimbali (kwa mfano msimu wa cockney wa Rhyming au sajili ya wanasheria). Wanaisimu na Wanaanthropolojia, hasa wanaisimujamii, wanaisimuethnolojia, na wanaisimuanthropolojia wameijkita katika utafiti wa namna usemaji hutofautiana katika jamii tumizi lugha fulani.
 
 
Line 236 ⟶ 228:
 
 
Tofauti baina ya lugha hazihusishi tofauti katika matamshi, msamiati au sarufi, lakini vilevile katika “tamaduni tofauti za usemaji”. Tamaduni zingine kwa mfano zina mifumo mipana ya “usonde wa kijamii”, mifumo ya kuashiria masafa ya kijamii katika njia za kiisimu<ref name="Foley 1997 p"> Foley 1997 p??</ref>. Katika Kingereza, usonde wa kijamii aghalabu huonyeshwa kupitia kwa kutofautisha baina ya kuwaita watu kwa kutumia jina la kwanza na kupitia kuwaita kwa kutumia jina la pili au hata kwa kutumia majina kama vile “Bi”, “kijana”, “Daktari”, “mheshimiwa”. Katika lugha zingine mifumo kama hiyo inaweza kuwa changamano sana na iliyosimbikwa katika sarufi nzima na msamiati wa lugha. Katika lugha nyingi za Asia mashariki, kwa mfano, Thai, Burmese na Javanese, maneno tofauti yanatumiwa kulingana na kama msemaji anazungumza na mtu wa cheo cha juu au cha chini ikilinganishwa na chake katika mfumo wa kuorodhesha. Katika mfumo huu wanyama na watoto huorodheshwa chini na miungu pamoja na jamii ya watawala kuorodheshwa juu.<ref name="Foley 1997 p"/> Lugha zingine huweza kutumia njia tofauti za kuzungumza ikiwa unazungumza na watu wa jinsia tofauti au wakwe na kwa upande mwingine lugha nyingi zina namna spesheli za kuzungumza na watoto. Miongoni mwa vikundi vingine, utamaduni wa kuzungumza unaweza kuhusisha ''kutozungumza'' na watu mahsusi, kwa mfano tamaduni nyingi za kienyeji za Australia zina mwiko wa kutozungumza na wakwe, na katika tamaduni zingine uzungumzi hauelekezewi watoto moja kwa moja. Lugha zingine huhitaji njia tofauti za kuzungumzia matabaka tofauti ya wasemaji na mfumo kama huo hujiegemeza kwa tofauti za kijinsia, mfanao ni Kijapani na Kikoasati<ref> Wanaume na Wanawake's Speech katika Koasati, Mary R. Haas, Lugha, Vol. 20, No 3 (Julai-Septemba, 1944), uk. 142-149 (pia sumamrized katika Foley 1997)</ref>.
 
 
 
==== Anthropolojia ya Kitamaduni ====
 
===== 1899-1946: Ubia ukilinganishwa utamaduni binafsi =====
[[Picha:FranzBoas.jpg|thumb|upright|Franz Boaz ndiye aliyeanzisha anthropolojia ya sasa ya Kimarekani kama somo la jumla ya matukio/vitendo vya binadamu.]]
Line 259 ⟶ 248:
[[Picha:Hopi basketweaver.jpg|thumb|upright|Msukaji wa vikapu wa Hopi]]
Wanafunzi wa Boas walitawala anthropolojia ya kitamaduni kwa kipindi chote cha vita vya II vya dunia na kuendelea kuwa na ushawishi mkubwa miaka ya 1960. Walikuwa na haja sana na mambo mawili: namna mbalimbali utamaduni umepitia duniani,<ref> Franz Boas 1907 "Anthropology" katika ''A Franz Boas Reader: The Kuumba wa Marekani Anthropology 1883-1911'' ed. George Stocking Jr 267-382</ref> , na njia ambazo watu wameathiriwa na kutenda kiubunifu jinsi inavyojitokeza katika tamaduni zao.<ref> Boas, Franz 1920 "The Utaratibu wa Ethnology" katika ''Race, Lugha, na Utamaduni.'' ed. George Stocking Jr 1940 Chicago: The University of Chicago Press. uk. 281-289
</ref><ref> Boas, Franz 1909 "decorative Designs katika Alaskan Needlecases: A Study katika historia ya Conversational Materials miundo msingi katika Marekani National Museum" katika ''Race, Lugha, na Utamaduni.'' ed. George Stocking Jr 1940 Chicago: The University of Chicago Press. uk. 564-592</ref> Hii iliwapelekea wanafunzi kujikita zaidi kwenye historia ya tabia za kitamaduni: namna zinavyosambaa kutoka katika jamii moja hadi nyingine na vile maana zinavyobadilika muda unavyoenda<ref> Wissler, Clark (ed.) (1975) ''Vyama Plains Wahindi wa'' AMS Press, New York, ISBN 0-404-11918-2, v. kikachapishwa ya 11 ya ''majarida ya Anthropological American Museum of Natural History,'' iliyochapishwa i 13 pts. 1912-1916.</ref><ref> Kroeber, Alfred L. (1939) ''Utamaduni na Michezo Maeneo ya Amerika ya Kaskazini Native'' [[University of California Press,]] Berkeley, CA.</ref> na maisha ya watu kutoka kwa jamii zingine.<ref> Dyk, Walter
1938 ''Left mitupu, Mwana wa Old Man Hat, kwa Walter Dyk.'' Lincoln: The University of Nebraska Press.</ref><ref> Lewis, 1961 Oscar ''Sanchez The Watoto wa.'' New York: Vintage Books.</ref><ref> Lewis, Oscar 1964 ''Pedro Martinez.'' New York: Random House.</ref><ref> Mintz, Sidney 1960 ''Worker katika Cane: A Puerto Rican Historia.'' Yale Caribbean Series, Vol. 2. New Haven: Yale University Press.</ref><ref> Radin, Paulo 1913 "Personal Reminiscences ya Winnebago Indian," katika ''Journal of American Folklore'' 26: 293-318</ref><ref> Radin, Paulo 1963 ''The Autobiography ya Winnebago India.'' New York: Dover Publications</ref><ref> Sapir, Edward 1922 "Sayach'apis, en Nootka Trader" katika Elsie Clews Parsons, ''American Indian Life.'' New York: BW Huebesh.</ref><ref> Simmons, Leo, ed. 1942 ''Sun Chief: The Autobiography ya Hopi India.'' New Haven: Yale University Press.</ref> Wengine kama vile Ruth Benedict (1887-1948) na Margaret Mead (1901-1978), walitoa kazi za kiusomi na tafiti linganishi zinazochanganua kazi za ubunifu ambazo zilikuwa zinalenga watu fulani katika miktadha mahsusi ya kitamaduni.<ref> Benedikto, Ruth. ''Mifumo ya Utamaduni.'' New York: Houghton Mifflin, 1934.</ref><ref> Benedikto, Ruth. ''The Chrysanthemum na Upanga: mifumo ya Kijapani Utamaduni.'' Rutland, VT na Tokyo, Ujapani: Charles E. Tuttle Co 1954 orig. 1946.</ref><ref> Margaret Mead 1928 ''Coming ya Age katika Samoa'' </ref> Muhimu kwa utafiti wao ilikuwa dhana ya “muktadha”: utamaduni ulitoa muktadha ambao ulifanya tabia za binadamu kueleweka; jiografia na historia zilitoa muktadha wa kuelewa tofauti baina ya tamaduni. Ingawa wafuasi wa Boas walikuwa wamejikita sana katika imani, umoja wa mawazo ya binadamu na ubia wa utamaduni, mkazo wao kwa miktadha ya kienyeji na tofauti za tamaduni ziliwaweka mbali na kupendekeza tamaduni za kiubia au nadharia za kiubia za utamaduni.
 
Kuna sintofahamu katika anthropolojia ya kitamaduni baina ya madai kuwa utamaduni kama kitu chenye ubia (kuwa jamii zote zina utamaduni) na kuwa utamaduni hulenga vitu mahsusi (utamaduni hujitokeza katika namna mbalimbali kote duniani). Baada ya Boas, mijadala miwili imetawala utamaduni wa kianthropolojia. Mjadala wa kwanza ni ule unaohusu njia za kuunda tamaduni fulani. Kumekuwa na mjadala baina ya wanaanthropolojia kama utamaduni unaweza kuelezewa kama mkusanyiko au husishi au vitu vilivyowekwa pamoja au kama sifa ya mkusanyiko wa vitu tofauti, idadi na maana ambavyo hubadilikabadilika. . Mwanafunzi wa Boaz, Ruth Benedict alipendekeza kuwa katika jamii yeyote ile sifa za kitamaduni zinaweza kuwa zaidi au kasoro ya zile ambazo zimewekwa pamoja yaani zile zinazohusisha mpangilio wa vitendo na mawazo ambayo maisha ya binadamu maana na vilevile huwapa msingi wa kutathmini vitendo vipya na mawazo.Ingawa alimaanisha kuwa kuna viwango mbalimbali vya mshikamano.Hata hivyo kuna tamaduni ambazo haziwezi kushikamanishwa.<ref> Ruth Benedikto 1959 [1934] ''mifumo ya Utamaduni.'' Boston: Houghton Mifflin Company. 46-47</ref> Boas aliendelea kusema kuwa mshikamano kabisa wa tamaduni ni nadra.<ref> Franz Boas 1940 [1932] "Anthropological malengo ya Utafiti," katika ''Race, Lugha na Utamaduni'' ed. George Stocking. Chicago: University of Chicago Press. 256</ref> Tamaduni fulani huonekana kushikamana kwa sababu ya mtazamaji mwenyewe.<ref> Bashkow, Ira 2004 "A Neo-Boasian Nyimbo ya Utamaduni Mipaka" ''American mwanaanthropolojia'' 106 (3): 446</ref>
 
Line 267 ⟶ 256:
Mjadala wa kwanza ulitupiliwa mbali mnamo mwaka wa 1934 wakati Ruth Benedict alipochapisha Patterns of Culture, kazi ambayo imekuwa kwenye matibaa tokea wakati huo. Ingawa kazi hii imekuwa maarufu kwa kusambaza wazo la Boas la Utamaduni rejeshi, lakini miongoni mwa wanaanthropolojia wazo hili lilikuwa muhtasari muhimu wa uvumbuzi wa Boas na vilevile kujitenga na mkazo Boas alitilia kwenye kusambaa kwa tabia mbalimbali za kitamaduni. "Kazi za kiaanthropolojia zimejikita sana kwa uchanganuzi wa tabia za utamaduni”, aliandika Ruth’na wala siyo utafiti wa tamaduni kama zinavyoelezewa kwa ujumla."<ref> Ruth Benedikto 1934 ''mifumo ya Utamaduni'' Boston: Houghton Miflin Kampuni s. 48</ref> Akiwa ameathiriwa na mwanaanthropolojia wakijamii kutoka Uingereza lakini mwenye asili ya Poland, Bronislaw Malinowski, Ruth alielezea kuwa, “kitu cha kwanza muhimu, inavyoonekana siku hizi, ni kutafiti utamaduni hai ili kujua tabia zake za mawazo na uamilifu wa asasi zake na njia ya pekee ya kujua kwa undani umuhimu wa tabia teule ni kinyume cha msingi wa matakwa na hisia na maadili ambayo yamekubaliwa na utamaduni huo.<ref> Ruth Benedikto 1934 ''mifumo ya Utamaduni'' Boston: Houghton Miflin Kampuni s. 49</ref> Akiwa ameathiriwa na wanahistoria wa kijerumani Wilhelm Dilthey na Oswald Spengler na vilevile saikolojia ya gestalt, alielezea “Kitu jumla ndicho huamua sehemu zake, siyo tu mahusiano yake bali hali yake halisi na vilevile," <ref> Ruth Benedikto 1934 ''mifumo ya Utamaduni'' Boston: Houghton Miflin Kampuni s. 52</ref> utamaduni ni zaidi ya ni jumla ya tabia zake.<ref> Ruth Benedikto 1934 ''mifumo ya Utamaduni'' Boston: Houghton Miflin Kampuni s. 47</ref> Namna ambavyo lugha zinavyoteua kutoka sauti zitokazo kinywani mwa binadamu (mradi hakina kasoro), alihitimisha kuwa watu wa jamii Fulani kila wakati uendapo na kupitia kwa michakato razini na isiyo razini, ilichagua tabia Fulani za kitamaduni kutoka seti ya tabia lukuki za kitamaduni ambazo huunganishwa na kuunda bombwe la kipekee.<ref> Ruth Benedikto 1934 ''mifumo ya Utamaduni'' Boston: Houghton Miflin Kampuni uk. 23-24</ref>
 
: Umuhimu wa tabia za kitamaduni hauishi wakati ambapo tumeelewa tabia za kienyeji na zile ambazo zimeundwa na zile zinazotofautiana. Utamaduni huwa jumlishi. Utamaduni kama alivyo mtu huwa ni mfumo fulani wa mawazo na vitendo. Ndani ya kila utamaduni huwa kuna sifa na malengo ambayo hayapatikani katika jamii nyingine. Na kwa kushikilia malengo yao, watu hawa huziimarisha tajiriba zao na kwa kulinganisha na dharura ya misukumo yao ambayo huumbika zaidi. Ikichukuliwa na utamaduni ulioimarika zaidi, vitendo ambavyo havijapangiliwa vizuri zaidi huwa vinalengwa na utamaduni huo kupitia kwa mabadiliko ambayo hayajatarajiwa.<ref> Ruth Benedikto 1934 ''mifumo ya Utamaduni'' Boston: Houghton Miflin Kampuni p.46</ref>
Ingawa Benedict alihisi kuwa takribani tamaduni zote zina mpangilio alielezea kuwa mipangilio hii hubadilika na wakati kufuatia ubunifu wa binadamu na kwa hivyo jamii tofauti kote duniani zina tabia tofauti. ''Patterns of Culture'' hulinganisha tamaduni za Zuni, Dobu na Kwakiutl kama njia ya kuonyesha namna mbalimbali za kuwa binadamu. Benedict aliona kwamba wakazi wa Magharibi walihisi ya kwamba mtazamo huu uliwalazimisha kutupilia mbali “ndoto ya kudumu na njozi pamoja na ndoto za binadamu za kujitegemea”na kwa wengi hili lilifanya uhai kuwa “mtupu."<ref name="autogenerated4"> Ruth Benedikto 1934 ''mifumo ya Utamaduni'' Boston: Houghton Miflin Kampuni p.277</ref> Alielezea ya kwamba baada ya watu kukubali matokeo ya utafiti wa kisayansi,watu watakuwa na imani halisia,wakikubali kama msingi wa matumaini na kama msingi mpya wa kuvumiliana na kuishi pamoja na mipangilio halali ya maisha ambao binadamu wameumba kutoka kwa malighafi ya kuishi.<ref name="autogenerated4"/>
 
 
Wazo hili la utamaduni limekuwa na athari kubwa nje ya anthropolojia na limetawala anthropolojia ya Kimarekani hadi wakati wa Vita Baridi,wakati wanaanthropolojia kama vile Sidney Mintz na Eric Wolf walipopinga uhalali na thamani ya kuangalia kila utamaduni kama “ulimwengu kivyake” na ulio na uthabiti fulani.".<ref> Ruth Benedikto 1934 ''mifumo ya Utamaduni'' Boston: Houghton Miflin Kampuni p.271</ref> Walihisi kuwa mwelekeo huu ulipuuza athari ya Ubepari, ukoloni, na uchumi wa kibepari wa ulimwengu kwa watu ambao Benedict na wafuasi walitafiti (na hii ilianzisha tena mjadala juu ya uhusiano ya ubia na utamaduni mahususi,kwa njia ya uhusiano baina ya ulimwengu na eneo la kienyeji). Ni wakati huo mabadiliko haya yaliathiri sana umuundo wa Kifaransa na kuwafanya wanaathropolojia wa Kimarekani kuukubali Umuundo-Uamilifu wa Kiingereza.
 
[[Picha:Tur-vrml.gif|thumb|left|Ukoo wa kuhamahama wa kituruki na michoro kama ndoa]]
[[Picha:Belen-gen-vrml.gif|thumb|left|Kijiji cha Mexico na michoro kama ndoa]]
Line 287 ⟶ 276:
 
Nadharia ya HRAF ya Murdock na ile ya umuundo ya Levi-Strauss zilitoa njia za kutafuta ubia katika utamaduni Fulani na mielekeo yote inaendelea kuwavutia wanaanthropolojia mbalimbali. Hata hivyo zinadhihirisha muvutano uliorithiwa baina ya Taylor na Bastian. Je utamaduni unaweza kupatikana katika tabia ambazo zinachunguzwa kisayansi ambazo zinaweza kuunda msingi wa ujumlishaji? Au huhusisha mchakato wa kiubia wa kiakili ambao lazima uhitimishwe kiakili kutokana tabia zilizochunguzwa? Swali hili limezua mijadala miongoni mwa wanaanthropolojia wa kibayolojia na vilevile wanaakiolojia.
 
 
 
===== Changamoto za umuundo-uamilifu:Jamii ikilinganishwa na utamaduni =====
Line 299 ⟶ 286:
Wakati huohuo ,mnamo mwaka wa 1946 mwanasosholojia Talcott Parsons(1902-1979) alianzisha idara ya mahusiano ya kijamii katika chuo kikuu cha Harvard. Akiwa ameathiriwa na wanasosholojia wa Ulaya kama Emile Durkheim,na Marx Weber,Parsons alibuni nadharia ya vitendo vya kijamii ambayo ilikaribiana sana na nadharia ya anthropolojia ya kijamii ya Uingereza kuliko Anthropolojia ya Kimarekani ya Boas na ambayo aliita “umuundo-uamilifu." Lengo la Parson lilikuwa kubuni nadharia jumlishi ya vitendo vya kijamii( kwa nini watu hutenda wanavyotenda na kuunda katika chuo kikuu cha Harvard programu inayohusisha masomo mbalimbali na ambayo ingeelekeza utafiti wa moja kwa moja kwa mujibu wa nadharia. Hii ruwaza ilielezea vitendo vya kibinadamu kwa sababu ya mifumo mine:
 
# "mfumo wa kitabia" wa mahitaji ya kibayolojia
# "mfumo wa kinafsi" wa sifa za mtu ambazo huathiri utendakazi wao katika ulimwengu wa kijamii
# "mfumo wa kijamii" wa tabia za mitagusano ya kijamii,hasa hadhi ya kijamii na jukumu
# "mfumo wa kitamaduni" wa tabia na maadili ambayo huendesha vitendo vya kijamii kiishara
 
 
Kulingana na nadharia hii,mfumo wa pili ndiyo ulioangaziwa zaidi na wanasaikolojia;mfumo wa tatu uliangaziwa na wanasosholojia na mfumo wa nne uliangaziwa na wanaanthropolojia wa kitamaduni.<ref> Talcott Parsons 1937, ''Mfumo wa Social Action'' </ref><ref> Talcott Parsons
1951, ''The Social System'' </ref> Ingawa Boas alichukulia kuwa mifumo hii yote ililengwa kutafitiwa na wanaathropolojia na nafsi,hadhi na tabia na maadili,Parson alioona kama dhima finyu kwa anthropolojia na ufafanuzi finyu wa utamaduni.
 
 
Ingawa wafuasi wa Boas wa anthropolojia ya kitamaduni walivutiwa sana na tabia na maadili miongoni mwa mambo mengine,ni pale ambapo kuzuka kwa umuundo uamilifu watu walianza kuhusisha utamaduni "na tabia na maadili." Wanaanthropolojia wa kimarekani walikataa mtazamo huu wa utamaduni( na kwa kiwango Fulani anthropolojia). Mnamo mwaka wa 1980.mwanaathropolojia Eric Wolfe aliandika,
 
: Vile sayansi jamii zilivyojibadilisha na kuwa sayansi ya tabia,maelezo kuhusu tabia yakasita kuhusishwa na utamaduni:tabia ingeeleweka katika muktadha wa matukio ya kisaikolojia,njia za uteuzi wa kiuchumi,kushindania ushindi katika kinyang’anyiro cha madaraka. Utamaduni wakati Fulani ulihusisha vitendo na mawazo yaliyotumiwa katika maisha ya kijamii lakini sasa ulitumiwa tu kurejelea "mwonouliwengu" au "maadili."<ref> Eric Wolf 1980 "Wao Gawanya na Subdivide na Call it Anthropology." ''The New York Times'' Novemba 30 Novemba: E9.</ref>
Hata hivyo wanafunzi kadhaa wa Talcott Parsons waliibuka na kuwa wanaanthropolojia maarufu wa kimarekani. Wakati huo wanaanthropolojia wengi wa kimarekani waliheshimu sana utafiti uliofanywa na wanaanthropolojia wa kijamii baina ya miaka ya 1940 na 1950 na walipata kuwa umuundo-uamilifu ulikuwa ruwaza muhimu kwa utafiti wa kiethnografia.
 
 
Muungano wa mbinu za utafiti za nadharia za anthropolojia ya kitamaduni ya kimarekani na anthropolojia ya kijamii ya Uingereza umesababisha sintofahamu baina ya dhana za "jamii" na "utamaduni." Kwa mujibu wa wanaanthropolojia wengi dhana hizi ni bainifu. Jamii hurejelea kikundi cha watu;jamii hurejelea uwezo mkubwa wa kinadamu na ujumla wa matukio ya kijenetiki yasiyo ya kibinadamu. Jamii kwa kawaida huwa na mshikamano;tabia za kitamaduni huwa tamba na mipaka ya kitamaduni jinsi ilivyo huvuja na hujitokeza kwa wingi.<ref> Ira Bashkow, 2004 "A Neo-Boasian Nyimbo ya Utamaduni Mipaka," ''American mwanaanthropolojia'' 106 (3) :445-446</ref> Katika miaka ya 1950-1960 wanaanthropolojia mara nyingi walifanya kazi mahali mipaka ya kijamii na kitamaduni ilitokea kwa sadfa hivyo kuficha mbainisho. Wakati mapengo baina ya mipaka hii yalipokuwa dhahiri,kwa mfano wakati wa vita dhidi ya ukoloni wa ulaya barani Afrika miaka ya 1960 na 1970 au wakati wa utandawazi na muungano wa asasi za Bretton Woods.Hata hivyo,tofauti huwa msingi wa mijadala ya kianthropolojia.<ref> Appadurai, 1986 Arjun ''Maisha ya Kijamii ya mambo.'' (Edited) New York: Cambridge University Press.</ref><ref> Appadurai, Arjun, 1996 ''Modernity saa kubwa: Utamaduni dimensions wa utandawazi.'' Minneapolis: University of Minnesota Press.</ref><ref> Gupta, Akhil, na James Ferguson, 1992, "Beyond 'Culture': Space, Identity, na Siasa ya Difference," ''Cultural Anthropology'' 7 (1): 6-23</ref><ref> Marcus, George E. 1995 "Ethnography katika / System ya Dunia: kuibuka wa Multi-Sited Ethnography." Katika ''Mwaka Review of Anthropology'' 24: 95-117</ref><ref> Wolf, Eric 1982 ''Ulaya na watu bila historia.'' Berkeley: University of California Press.</ref>
 
 
 
===== 1946-1968:ishara ikilinganishwa na kurekebu =====
Line 333 ⟶ 318:
 
Hata hivyo kufikia miaka ya 1930 White alianza kutupilia mbali mwelekeo wa Boas.<ref> Richard A. Barrett 1989, "The Paradoxical Anthropology ya Leslie White,"
''American mwanaanthropolojia'' Vol. 91, No 4 (Desemba, 1989), uk. 986-999</ref> Aliandika,
 
: Ili kuishi binadamu,kama zilivyo spishi zingine lazima wakabiliane ana kwa ana na ulimwengu wa nje.... binadamu hutumia viungo vyake vya fahiwa,neva,mifuko maalumu,na musuli katika kujiweka sawa katika ulimwengu wa nje. Mbali na haya ana njia nyingine ya kujiweka sawasawa na kujidhibiti.... njia ni ''utamaduni.'' <ref> Leslie White, 1949 "Ethnological Theory." Katika ''Falsafa ya Future: The Quest ya kisasa Kupenda mali.'' RW Sellars, VJ McGill, na M. Farber, eds. Pp. 357-384. New York: Macmillan.</ref>
Ingawa mawazo haya yanaunga mkono yale ya Malinowski.dhana kuu kwa White haikuwa “uamilifu” bali “urekebikaji." Ingawa wakereketwa wa Boas walijishughulisha sana na historia ya tabia Fulani,White alijishughulisha sana na historia ya kitamaduni ya spishi za binadamu,ambayo alihisi lazima itafitiwe kutokana na mtazamo wa ukuaji. Kwa hivyo jukumu la anthropolojia kwa hivyo ni kuchunguza siyo tu namna utamaduni unavyokuwa bali kwa nini vilevile.... na katika hali inayomhusu binadamu..uwezo wa kuvumbua na kugundua,uwezo wa kuteua na kutumia vizuri mojawapo ya vifaa,au njia za kufanya kitu-.haya ni mambo ya ukuaji wa utamaduni.<ref> Leslie White, 1943 "Nishati na Evolution ya Utamaduni." ''American mwanaanthropolojia'' 45: 339</ref> Tofauti na wanaukuaji wa karne ya 19 ambao walijikita na jinsi jamii zilizostaarabika zilivyovuka mipaka ya jamii shenzi,White alijishughulisha na kuandika namna baada ya mpito wa wakati,namna binadamu alivyogundua njia nyingi za kuunda nishati kutoka kwa mazingira kupitia kwa utamaduni,na wakati huo akabadilisha utamaduni.
 
Line 347 ⟶ 332:
Mjadala baina ya mielekeo ya kiishara na vifaa kuhusu utamaduni ilitawala anthropolojia ya kimarekani miaka ya 1960 na 1970. [[Vita vya Vietnam na kuchapishwa kwa kazi ya Dell Hymes]] '''Reinventing Anthropology,'' ilionyesha hali ya kutoridhika kuhusu mielekeo iliyotawala kuhusu utamaduni. Hymes alielezea kuwa elementi za kimsingi katika mradi wa Boas kama vile ujumla na haja katika utofauti zingali muhimu kufuatiliwa: “ kujishughulisha na watu wengine na namna wanavyoendesha maisha yao na haja ya kuelezea katika misingi ya urejeleo unaohusu wetu."<ref> Dell ''Reinventing Anthropology'' Hymes 1969 s. 11</ref> Hata hivyo alielezea kuwa wanaanthropolojia wa kitamaduni wamejihami sawasawa kuongoza utafiti huu(wakiwashambulia wanasosholojia kama vile Parson ambao walitaka kuhusisha anthropolojia katika miradi yao):
 
: Katika kutenda huwa kuna mahali pa asilia kwa uangavu kwa matukio katika njia ambazo hazijashughulikiwa na nadharia au muundo-umakini kwa matukio changamano,kwa matukio ya haja,kwa ajili yao,kwa hisia na vilevile kwa kiakili,vipengee vya somo. Hii mitazamo ya kiulinganishi na kiutendaji,ingawa siyo ya kipekee kwa anthropolojia rasmi,huwa hasa inaunganishwa hapo na inaweza kulemazwa ikiwa utafiti kuhusu binadamu ungeunganishwa chini ya uongozi wa wengine ambao kwa muda mrefu hawajatumia njia hizo za utafiti,ambao husahau matokeo ya maarifa ya kijamii katika kufafanua njia zake au bila kujua hawajishughulishi na utamaduni..<ref> Dell ''Reinventing Anthropology'' Hymes 1969 s. 42</ref>
Katika elementi hizi Hymes alitoa maelezo ambayo yanahalalisha “uchunguzi wa jumla wa binadamu".<ref> Dell ''Reinventing Anthropology'' Hymes 1969 s. 43</ref>
 
 
Wakati huu wanaanthropolojia watajika kama vile Mintz,Murphy,Sahlins na Wolf hatimaye walijitenga,wakifanya majaribio na mielekeo ya uasilia na umarx waliendelea kukuza anthropolojia ya kitamaduni badala ya umuundo uamilifu.<ref> Sidney Mintz 1985 ''Sweetness and Power'' New York: Viking Press</ref><ref> Robert Murphy 1971 ''The Dialectics wa Social Life'' New York: Basic Books</ref><ref> Marshall Sahlins 1976 ''Utamaduni na Vitendo Sababu'' Chicago: University of Chicago Press</ref><ref> Eric Wolf 1971 ''wadogowadogo Vita ya karne ya ishirini'' </ref><ref> Eric Wolf, 1982 ''Ulaya na Historia ya Watu Bila'' Berkeley: University of California Press</ref>
 
 
 
===== 1940—Hadi sasa.Utamaduni wa kienyeji ukilinganishwa na Kilimwengu =====
Line 377 ⟶ 360:
 
Namna mataifa huchukulia tamaduni za wahamiaji huangukia katika mojawapo ya mielekeo hii. Kiwango cha utofauti baina yake na utamaduni changizi(yaani ugeni),idadi ya wahamaji,mitazamo ya wakazi,aina za sera za serikali zinazobuniwa na utendakazi wa sera hizo hizi zote hufanya iwe vigumu kuweza kujumlisha kuhusu athari. Hali ni hiyo katika tamaduni nusu katika jamii,mitazamo ya umma mkubwa na mawasiliano baina ya vikundi mbalimbali vya kitamaduni huwa na dhima kubwa katika kuamua matokeo. Uchunguzi kuhusu utamaduni katika jamii huwa changamano na utafiti sharti uzingatie mambo mbalimbali.
 
 
 
=== Mafunzo ya Kitamaduni ===
Line 384 ⟶ 365:
 
 
Kuanzia miaka ya 1970 kuendelea,kazi aliyoasisi Stuart Hall pamoja na wenzake Paul Wills,Dick Hebdige,Tony Jefferson na Angela McRobbie,waliunda muungano wa kiusomi wa kimataifa. Uwanja huu ulipokua kuungana mawanda mengine kama vile siasa ya kiuchumi,mawasiliano,sosholojia,nadharia ya kijamii,nadharia ya kifasihi,nadharia ya vyombo vya habari,mafunzo ya filamu/video,anthropolojia ya kitamaduni,falsafa,mafunzo ya makavazi, na sanaa ya historia ili kuchunguza matukio ya kitamaduni au matini za kitamaduni. Katika uwanja huu watafiti wanajikita juu ya namna tukio Fulani linavyohusiana na masuala ya itikadi, utaifa, ukabila, tabaka la kijamii, na/au jinsia.{{Citation needed|date=JulyJulai 2009}} Mafunzo ya kitamaduni yanahusisha maana na matendo ya kila siku ya maisha. Matendo haya yanahusisha namna watu wanavyofanya vitu Fulani( kama vile kutazama runinga, au kula) katika utamaduni Fulani. Uwanja huu huchunguza maana na matumizi watu huwekea vifaa na matendo Fulani. Hivi karibuni ,vile ubepari umeenea kote duniani(mchakato uitwao utandawazi),mafunzo ya kitamaduni yameanza kuchanganua njia za kienyeji na za kilimwengu za kupinga kutawaliwa na Magharibi.{{Citation needed|date=JulyJulai 2009}}
 
 
Katika muktadha wa mafunzo ya kitamaduni,wazo la matini halihusishi tu lugha iliyoandikwa bali huhusisha filamu,picha,fesheni, au mitindo ya nywele:matini za mafunzo ya kitamaduni hujumuisha sanaa-baki za maana za utamaduni.{{Citation needed|date=JulyJulai 2009}} Vilevile uwanja huu hupanua dhana ya "utamaduni". "Utamaduni" kwa mtafiti wa mafunzo ya kitamaduni hujumuisha utamaduni asilia wa juu( utamaduni wa makundi tawala ya jamii)<ref> Bakhtin, Mikhail 1981. ''The Dialogic Imagination.'' Austin, TX: UT Press, p.4</ref> na utamaduni pendwa na maana na matendo ya kila siku. Mawili ya mwisho ndiyo yanayotiliwa maanani na mafunzo ya kitamaduni. Mwelekeo zaidi na sasa ni mafunzo ya utamaduni linganishi unaotokana na uwanja wa fasihi linganishi na mafunzo ya kitamaduni.{{Citation needed|date=JulyJulai 2009}}
 
 
Line 393 ⟶ 374:
 
 
Nako nchini Marekani Lindlof na Taylor wanasema ya kwamba mafunzo ya kitamaduni yalikitwa katika utamaduni wa kiprigmatiki wa uliberali wa wingi".<ref> (Lindlof &amp; Taylor, 2002, p.60</ref> Aina ya mafunzo ya utamaduni ya Marekani mwanzoni yalijihusisha zaidi na kuelewa namna hadhira ingechukulia matumizi ya utamaduni wa umati.Kwa mfano wakereketwa wa mafunzo ya utamaduni Marekani waliandika kuhusu vipengele vya kiliberali vya fandom.{{Citation needed|date=JulyJulai 2009}} Tofauti baina ya mitazamo ya Marekani na Uingereza sasa imefifia.{{Citation needed|date=JulyJulai 2009}} Watafiti wengine hasa katika mafunzo ya mwanzoni ya utamaduni Uingereza wanatumia ruwaza za kimarx katika taaluma hii. Huu mtindo wa kufikiria una athari kutoka kwa Shule ya Frankfurt,lakini athari kubwa inatoka kwa umarx muundo wa Louis Althusser na wengineo. Mkazo wa umarx asili ni juu ya maana ya ''uzalishaji'' . Ruwaza hii huchukua uzalishaji kwa wingi na hutambua uwezo/mamlaka huwa miongoni mwa wale wanaotoa sanaa baki. Katika mtazamo wa kimarx,wale wanaothibiti njia za uzalishaji (''msingi'' wa uchumi) kimsingi ndiyo hutawala utamaduni.{{Citation needed|date=JulyJulai 2009}} Mielekeo mingine kuhusu mafunzo ya utamaduni kama vile mafunzo ya ufeministi ya utamaduni,na maendeleo ya kimarekani katika taaluma yanajitenga na wazo hili. Wanashutumu umarx kwa maana moja ya utamaduni ambayo inaaminiwa na wote. Mielekeo isiyo ya umarx inapendekeza njia mbalimbali za kushughulikia utamaduni wa sanaa-baki huathiri maana ya zao. Wazo hili linaelezewa vizuri katika kitabu ''Doing Cultural Studies: The case of Sony Walkman'' (na Paul du Gay na wengine),ambacho kinapinga wazo kwamba wale wanaozalisha bidhaa huthibiti maana ambazo watu huhusisha nazo. Mchanganuzi wa kifeministi wa utamaduni,mwananadharia na mwanahistoria wa sanaa Griselda Pollock alichangia katika mafunzo ya utamaduni akitumia mitazamo ya sanaa historia,saikolojiachanganuzi. Mwandishi Julia Kristeva ana ushawishi mkubwa akichangia kwa mafunzo ya kitamaduni kupitia taaluma za sanaa na saikolojiachanganuzi ya ufeministi wa kifaransa.{{Citation needed|date=JulyJulai 2009}}
 
 
 
== Mabadiliko ya kitamaduni ==
[[Picha:Indig2.jpg|thumb|left|Picha ya karne ya 19 inayoonyesha wakazi wa Australia wakipinga kuwasili kwa Kapteni James Cook mwaka 1770]]
Uvumbuzi wa utamaduni unaamanisha uvumbuzi wowote mpya na unaopatikana kuwa wa manufaa kwa kikundi cha watu na unaelezewa katika tabia zao lakini haupo kama kitu kinachoonekana. Watu wako katika ulimwengu unaoharakisha mabadiliko ya utamaduni kiwakati,wakisukumwa na kupanuka kwa biashara kimataifa,vyombo vya habari,na kuongezeka kwa idadi ya watu miongoni mwa mambo mengine.
 
 
Line 430 ⟶ 409:
* [[Ukuaji wa utamaduni kijamii]]
* [[Utamaduni wa mijini]]
 
 
 
== Tanbihi ==
{{reflistMarejeo|2}}
 
== kumbukumbu ==
<div class="references-small">
 
* "Adolf Bastian". ''Leo katika Historia Sayansi.'' Januari 27, Januari 2009 [http://www.todayinsci.com/B/Bastian_Adolf/Bastian_Adolf.htm Leo katika Historia Sayansi]
* "Adolf Bastian", [http://www.britannica.com/EBchecked/topic/55606/Adolf-Bastian Encyclopaedia Britannica Online,] 27 Januari 27, 2009
* {{cite book|last= Ankerl |first= Guy |title= Global communication without universal civilization, vol.1: Coexisting contemporary civilizations: Arabo-Muslim, Bharati, Chinese, and Western |origyear= 2000 |series= INU societal research |publisher= INU Press |location= Geneva |isbn= 2-88155-004-5 |pages=|year= 2000 }}
* Arnold, Mathayo. 1869. [http://www.library.utoronto.ca/utel/nonfiction_u/arnoldm_ca/ca_titlepage.html ''Utamaduni na Anarchy.'' ] New York: Macmillan. Toleo la tatu, 1882, inapatikana online. Retrieved: 2006/06/28.
Line 459 ⟶ 436:
* Kroeber, AL na C. Kluckhohn, 1952. ''Utamaduni: A Critical Review wa Concepts na Definitions.'' Cambridge, MA: Peabody Museum
* Kim, Uichol (2001). "Utamaduni, sayansi na wazawa psychologies: An jumuishi uchambuzi." Katika D. Matsumoto (Ed.), ''Handbook ya utamaduni na saikolojia.'' Oxford: [[Oxford University Press]]
* McClenon, James. "Tylor, Edward B (urnett)". ''Huru ya Dini na Jamii.'' Ed. William Swatos na Petro Kivisto. Walnut Creek: AltaMira, 1998. 528-29.
* Middleton, R. 1990. ''Studying Popular Music.'' Philadelphia: Open University Press. ISBN 978-0-335-15275-9.
* O'Neil, D. 2006. [http://anthro.palomar.edu/tutorials/cultural.htm Cultural Anthropology Tutorials,] Behavioral Idara ya Sayansi, Palomar College, San Marco, California. Retrieved: 2006/07/10.
* [[Reagan, Ronald.]] [http://www.reagan.utexas.edu/archives/speeches/1989/011489a.htm "Final Radio Adress kwa taifa",] [[Januari 14, Januari 1989.]] Rudishwa [[3 Juni, 2006.]]
* Reese, WL 1980. ''Dictionary wa Falsafa na Dini: Mashariki na Magharibi Thought.'' New Jersey Marekani, Sussex, Uingereza: Humanities Press.
* Tylor, EB 1974. ''Primitive utamaduni: tafiti katika maendeleo ya Mythology, falsafa, dini, sanaa na desturi.'' New York: Gordon Press. Kwanza iliyochapishwa mwaka 1871. ISBN 978-0-87968-091-6
* UNESCO. 2002. [http://www.unesco.org/education/imld_2002/unversal_decla.shtml Azimio la utamaduni,] imetolewa juu ya [[Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama, February 21, Februari 2002.]] Retrieved: 2006/06/23.
* White, L. 1949. ''Ya Sayansi ya Utamaduni: Utafiti wa mtu na ustaarabu.'' New York: Farrar, Straus na Giroux.
* Wilson, Edward M. (1998). ''[[Consilience: The Unity of Knowledge]]'' Vintage: New York. ISBN 978-0-679-76867-8.