Wangari Maathai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza jv:Wangari Maathai |
Minor fix using AWB |
||
Mstari 2:
[[Picha:Wangari Maathai.jpg|thumb|Wangari Maathai akipokea tuzo kutoka Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu ya Kenya]]
'''Wangari Muta Maathai''' (1 Aprili 1940 – 25 Septemba 2011) alikuwa mwanaharakati wa masuala ya mazingira na haki za wanawake kutoka nchini [[Kenya]]. Mwaka wa 2004 alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Amani]]'''.<ref>Gettleman, Jeffrey. [http://www.nytimes.com/2011/09/27/world/africa/wangari-maathai-nobel-peace-prize-laureate-dies-at-71.html?scp=1&sq=wangarai%20maathai&st=cse "Wangari Maathai, Nobel Peace Prize Laureate, Dies at 71,"] ''New York Times'' (US).
Katika maandalizi ya [[Uchaguzi wa Ubunge na Urais 2007|uchaguzi wa 2007]] Maathai alisimama upande wa rais Kibaki lakini hakuteuliwa na chama cha ''[[Party of National Unity (Kenya)|PNU]]'' akagombea kwa chama cha Mazingira Green Party lakini hakurudi bungeni.
Mstari 11:
=== Shirika la GBM ===
Mwaka wa 1977, Maathai alianzisha shirika la [[Green Belt Movement]] ambalo linajihusisha hasa na mazingira, haki za raia na demokrasia.
=== Ndoa na familia ===
Mwaka wa 1969, Wangari Muta (jina lake la kuzaliwa) alifunga ndoa na Mwangi Maathai, mwanasiasa wa Kenya. Wana watoto watatu, Waweru, Wanjira na Muta, lakini walitengana baadaye.
== Marejeo chini ya ukurasa ==
{{
{{Mbegu-mwanasiasa}}
|