Yosefu wa Leonesa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '250px|thumb|right|Mt. [[Fidelis wa Sigmaringen na Mt. Yosefu wa Leonesa walivyochorwa na Giovanni Battista Tiepo...' |
No edit summary |
||
Mstari 2:
'''Yosefu wa Leonesa, [[O.F.M. Cap.]]''', ([[jina la kitawa]] kwa [[Kiitalia]] Giuseppe da Leonessa, jina la awali Eufranio Desiderio)
aliishi zaidi nchini [[Italia]] ([[8 Januari]] [[1556]] – [[4 Februari]] [[1612]]) na anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe ya [[kifo]] chake.
Mstari 12:
Kama [[mtawa]] alishika sana matendo ya [[toba]] na kujinyima.
Alipata [[upadrisho]] tarehe [[24 Septemba]] [[1580]].
Mwaka [[1587]] [[Mtumishi mkuu]] wa shirika lake alimtuma [[Konstantinopoli]] ili kuhudumia [[Wakristo]] waliotekwa na kutumikishwa huko. [[Ufukara]] wake na wa wenzake ulivuta [[Waturuki]] wengi waende kuwaona, naye alikuwa akihubiri mjini kila siku hadi alipokamatwa na kufungwa hadi alipoachiliwa kwa juhudi za watu wa [[Venezia]].
Line 17 ⟶ 19:
Alifikia hatua ya kujaribu kuingia katika [[ikulu]] la [[sultani]] [[Murad III]], lakini alikamatwa tena na kuhukumiwa [[adhabu ya kifo]]. Kwa siku tatu aling'ing'inia [[msalaba]]ni hadi (inavyosemekana) alipofunguliwa na [[malaika]] na kurudishwa Italia.
Hapo akaanza kazi ya kuhubiri katika
Alitangazwa na [[Papa Klementi XII]] kuwa [[mwenye heri]] tarehe [[22 Juni]] [[1737]], halafu [[Papa Benedikto XIV]] alimtangaza mtakatifu tarehe [[29 Juni]] [[1746]].
==Marejeo==
*Giuseppe Maria Guglielmi, S. Giuseppe da Leonessa predicatore cappuccino in Otricoli. Appunti e memorie, Roma, Tipografia arte e lavoro, 1919.
==Viungo vya nje==
*[http://www.newadvent.org/cathen/08521b.htm Joseph of Leonessa] at the [[Catholic Encyclopedia]]
*[http://penelope.uchicago.edu/Thayer/E/Gazetteer/Places/Europe/Italy/Lazio/Rieti/Leonessa/Leonessa/churches/S.Giuseppe/home.html S. Giuseppe of Leonessa] at Thayer's Gazetteer
|