Jua : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza pcd:Solel
nyongeza
Mstari 1:
[[Picha:Sun920607.jpg|thumbnail|Jua]]
'''Jua''' ni [[nyota]] ambayo ni karibu yetuna zaididunia yetu kuliko nyota nyingine. InazungukwaJua ni kitovu cha mfumo wa jua likizungukwa na [[sayari]] tisa. [[Dunia]] yetu ni sehemumoja ya sayari hizi katika [[mfumo wa jua na sayari zake]].
 
MadaUmbo yakela nijua katikalinakaribia hali[[tufe]] yakamili. Mada yake ni [[Utegili (fisikia)|utegili]] yaani kama [[gesi]] ya joto sana inayoshikwa na nguvu ya ki[[sumaku]].
 
Kipenyo cha jua ni takriban kilomita 1,392,684 ambayo ni mara 109 ya kipenyo cha dunia yetu. Masi yake ni mara 330,000 ya masi ya dunia.
 
Kikemia masi ya jua ni hasa [[hidrojeni]] (73%) na [[heli]] (25%). Kiasi kinachobaki ni [[elementi]] nzito zaidi kama vile [[oksijeni]], [[kaboni]], [[chuma]] na [[nyingine]]. Hata kama hizi elementi nzito ni asilimia ndogo tu ya masi ya jua bado zinalingana na mara 5,000 za masi ya dunia kutokana na ukubwa wa jua.
 
Jua inatoa [[mwanga]], [[joto]] na [[mnururisho]] mwingine wa aina mbalimbali. Asili ya nishati hii ni mchakato wa [[myeyungano wa kinyuklia]] ndani yake. Katika myeyungano huu hidrojeni inabadilishwa kuwa heli. Elementi nyingine zinatokea pia kwa kiasi kidogo. Badiliko kutoka hidrojeni kwenda heli inaachisha nishati inayotoka kwenye jua kwa njia ya mnururisho.
 
[[Nishati]] ya mnururisho huu ni msingi wa maisha ya [[mmea|mimea]] na [[kiumbehai|viumbe hai]] katika dunia. Nuru ya jua inabadilishwa na mimea kwa njia ya [[usanisinuru]] kuwa nishati ya kikemia inayojenga miili yao itakayokuwa lishe tena ya mimea na wanyama.
 
Kutokana na [[myeyungano wa kinyuklia]] ndani yake jua hutoa [[nishati]] ambayo ni muhimu kwa maisha ya [[mmea|mimea]] na [[kiumbe|viumbe hai]] katika dunia. Nishati hii inapatikana kama [[mwanga]], [[joto]] na aina mbalimbali za [[mnururisho]].
 
Mada yake ni katika hali ya [[Utegili (fisikia)|utegili]] yaani kama [[gesi]] ya joto sana.
{{mbegu-sayansi}}