Mkoa wa Dar es Salaam : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
== Dar es Salaam ==
'''Dar es Salaam''' ni kati ya mikoa 26 ya [[Tanzania]]. Eneo la mkoa ni [[Jiji]] la [[Dar es Salaam]]. Imepakana na [[Mkoa wa Pwani]] pande zote barani na [[Bahari ya Hindi]] upande wa mashariki. Jiji la Dar es Salaam
Kuna wilaya tatu za Kinondoni (wakazi 1,088,867), Ilala (wakazi 637,573) na Temeke (wakazi 771,500) ambazo kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2002, kwa ujumla idadi ya wakazi hukadiriwa kuwa imefika mnamo milioni 3.
|