Negus : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: simple:Emperor of Ethiopia |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Negus''' ni cheo cha kifalme katika historia ya [[Uhabeshi]] au Ethiopia. Maana ya neno hili ni "[[mfalme]]".
Cheo hiki kilitumiwa katika historia ya Ethiopia na watawala mbalimbali wa majimbo kwa mfano wa [[Shewa]], [[Gonder]], [[Tigray]] na [[Gojam]]. Mtawala mkuu wa Ethiopia alitumia cheo cha "Negus Negesti" ''(pia: "Negusa Nagast" au mfalme wa wafalme)'' kinacholingana na "[[Kaisari]]".
Negus wa mwisho alikuwa tangu [[1928]] [[Ras Tafari Makonnen]] aliyeendela kuwa Kaisari [[Haile Selassie I]] tangu [[1930]]. Alipinduliwa na kuuawa na wanajeshi wa [[Derg]] waliomaliza utawala wa kifalme katika Ethiopia.
[[Category:Ethiopia]]
|