Antonio Casas : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Antonio Casas |
Antonio Casas |
||
Mstari 19:
'''Antonio Casas''' (Alizaliwa tar. [[11 Novemba]], [[1911]] mjini A Coruña, Galicia, - akafariki dunia tar. [[14 Februari]] mwaka [[1982]] mjini [[Madrid]], [[Hispania]]) alikuwa mchezaji mpira wa miguu wa [[Hispania]], aliekuja kuwa mwigizaji wa filamu kati ya mwaka [[1941]] na [[1982]] kifo chake kilivyowadia.
Casas awali aliaza kama mchezaji [[Mpira wa Miguu|mpira wa miguu]] lakini baadae akajiingiza katika masuala ya ugizaji wa filamu
Mnamo miaka ya [[1970]] alifanya kazi katika televisheni lakini akarudi tena katika uwanja filamu baada ya [[1975]] akuachia tena shughuliza uigizaji hadi kifo chake kilivyowadia mwaka [[1982]].
|