Elki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Masahihisho |
|||
Mstari 1:
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina =
| picha = Moose_superior.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = '''
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
Mstari 19:
}}
'''
== Etimolojia na jina ==
Jina la [[Kiingereza cha Kibritania]] linatoka lugha zingine za [[Kihindi-Kizungu]], kwa mfano, ''elg'' kwa [[Kideni]]/[[Kinorwe]], ''älg'' kwa [[Kiswidi]], ''Elch'' kwa [[Kijerumani]] na ''łoś'' kwa [[Kipoli]]. Hata hivyo, katika Amerika Kaskazini neno la ''elk'' "elki" hutumika ili kurejelea mnyama tofauti, [[wapiti|elki wa Kanada]] au pia huitwa [[wapiti]] (''Cervus canadensis'') ambaye ni mdogo zaidi na kisanaba tofauti na [[kulungu mwekundu]] wa Ulaya wa kati na magharibi.
Mstari 28:
Neno la ''moose'' kwanza liliingia Kiingereza mwaka wa 1606, na hutoka lugha za [[Kialgonkini]] ([[Kinarragansett]] ''moos'' na [[Kiabenaki cha Mashariki]] ''mos'').
== Makazi na eneo ==
=== Amerika Kaskazini ===
Katika Amerika Kaskazini,
=== Ulaya ===
Katika Ulaya,
[[Jamii:Ng'ombe na jamaa]]
|