Patrice Lumumba : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
dNo edit summary
Mstari 1:
 
[[Picha:PatricelumumbaIISG.jpg|thumb|Patrice E. Lumumba]]
{{Lead section|date=March 2013}}
{{Infobox prime minister
| name = Patrice Lumumba
| image = PatricelumumbaIISG.jpg
| caption = Patrice E. Lumumba
| order = 1st [[w:Prime Minister|Waziri Mkuu wa kwanza wa DRC]]
| term_start = 24 June 1960
| term_end = 14 September 1960
| deputy = [[w:Antoine Gizenga|Antoine Gizenga]]
| predecessor = [[w:Belgian Congo|Serikali ya kikoloni]]
| successor = [[w:Joseph Ileo|Joseph Ileo]]
| birth_date = {{Birth date|1925|7|2|df=yes}}
| birth_place = Onalua, [[w:Katakokombe|Katakokombe]], [[w:Belgian Congo|Belgian Congo]]
| death_date = {{Death date and age|1961|1|17|1925|7|2|df=yes}}
| death_place = [[w:Elisabethville|Elisabethville]], [[w:State of Katanga|State of Katanga]]
| birthname = Patrice Émery Lumumba
| party = [[w:Mouvement national congolais|MNC]]
| spouse = Pauline Lumumba
| children = François Lumumba<br>Patrice Lumumba, Jr.<br>Julienne Lumumba<br>Roland Lumumba<br>[[Guy-Patrice Lumumba]]
}}
 
'''Patrice Lumumba''' ([[2 Julai]] [[1925]] – [[17 Januari]] [[1961]]) alikuwa mwanasiasa mwanamapinduzi wa nchi ya [[w:Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]. Mwaka wa 1958 alikuwa miongoni mwa waanzishaji wa Chama cha Taifa la Kongo (kwa [[w:Kifaransa|Kifaransa]]: ''[[w:Mouvement National Congolais|Mouvement National Congolais]]''). Mwaka wa 1960 alipata kuwa [[Waziri Mkuu]] wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuongoza harakati za kugombea uhuru toka kwa utawala wa kikoloni wa [[w:Ubelgiji|Wabelgiji]]. Baada ya miezi miwili tu ya kuwa Waziri Mkuu, Lumumba alipinduliwa na baadaye kutiwa ndani kabla ya kuuawa katika mazingira ya kutatanisha katika eneo la [[w:Katanga|Katanga]] upande wa kusini wa Kongo.