Atanasi wa Aleksandria : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 40:
Hivyo alitetea uwepo wa [[Utatu]] “kikwelikweli” na kusisitiza kwamba Neno hakuumbwa bali alizaliwa na kuwa na umungu uleule wa Baba. Mwana ana utimilifu wa umungu na ni Mungu kamili. Baba na Mwana wana hali ileile ya [[milele]]. Hiyo ni muhimu kuhusu [[ukombozi]], kwa sababu tusingeweza kuokolewa bila Mungu kujifanya mtu. Ndiyo sababu [[Bikira Maria]] anaweza kuitwa [[Mama wa Mungu]]. [[Roho Mtakatifu]] hawezi kuwa kiumbe ndani ya Utatu, bali ni Mungu.
 
== Orodha ya maandishi yake ==
* Dhidi ya Wapagani
* Neno aliyefanyika mwili