Mlei : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[FichierPicha:Lectio divina-2.jpg|thumb|250px|Mlei [[mwanamke]] akisoma [[Biblia]].]]
'''Mlei''' ni jina la kisheria la [[Mkristo]] wa kawaida, yaani yule asiye na [[daraja takatifu]] wala si [[mtawa]].
 
Jina hilo linatokana na neno la [[Kigiriki]] λαϊκός (laikós, "mmoja wa umma"), ambalo shina lake ni λαός (laós, "umma").
 
Msingi wa hadhi, wajibu na haki zake ni [[sakramenti]] ya [[Ubatizo]] pamoja na [[Kipaimara]] na [[Ekaristi]].