Thomas Aquinas Mtakatifu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4:
[[Picha:St-thomas-aquinas.jpg|thumb|right|250px|Mchoro wake uliofanywa na [[Carlo Crivelli]]]]
[[Picha:SummaTheologiae.jpg|right|thumb|200px|Ukurasa wa ''Summa theologiae'']]
'''Mtakatifu Thomas Aquinas''' alikuwa ([[upadri|padriRoccasecca]], katika eneo la watawala wa [[KanisaAquino]], Katolikileo katika [[wilaya]] naya [[Frosinone]], [[Italia]], 1224 au 1225 - [[Fossanova]], wilaya ya [[Latina]], Italia, [[7 Machi]] [[1274]]) alikuwa [[mtawa]] wa '''[[Shirika la Wahubiri]]''' kutokana nchi[[upadri|padri]] yawa [[ItaliaKanisa Katoliki]].
 
Mnyofu, mkimya, aliyekuwa tayari kutumikia, kiutu alipendwa na wote, naye alipendelea watu wa chini, akihubiria ma[[fukara]mafukara kwa [[usahili]] na [[wema]] hata zaidi ya mara moja kwa siku.
Thoma alizaliwa [[ngome]]ni [[Roccasecca]], katika eneo la watawala wa [[Aquino]] ([[Frosinone]], [[Italia]]), mwaka [[1224]] au [[1225]], akafariki katika [[konventi]] ya [[Fossanova]] tarehe [[7 Machi]] [[1274]].
 
Kuliko wengine wote, Thoma aliona [[elimu]] na masomo kama njia ya kufikia [[utakatifu]]; ni kati ya watu bora upande wa [[nadharia]], hasa wa [[teolojia ya shule]], iliyofikia kilele chake katikati ya [[karne XIII]].
Masalia yake yanatunzwa katika konventi ya [[Wadominiko]] ''des Jacobins'' huko [[Tolosa]] ([[Ufaransa]]).
 
Mwanafunzi wa [[Alberto Mkuu]], alitumia hasa mawazo ya [[mwanafalsafa]] wa [[Ugiriki]] [[Aristoteli]] na ya [[Waarabu]] waliomtafsiri, lakini pia ya [[Plato]]: ili kufafanua [[imani]], alikubali [[ukweli]] ulioweza kutolewa na yeyote, kwa sababu kweli zote zinatoka kwa [[Mungu]]; kinyume chake alikanusha udanganyifu wowote.
 
Hivyo aliweza kufanya [[usanisi]] mpana ambao mpaka leo [[Kanisa Katoliki]] linautambua kama tokeo bora yala mafundisho yake lenyewe.
 
Anajulikana hasa kwa vitabu vyake “Jumla ya Teolojia” (kwa [[Kilatini]] ''[[Summa theologiae]]'') na “Jumla dhidi ya Wapagani” (kwa Kilatini ''[[Summa contra gentiles]]'').
 
Alitangazwa na [[Papa Yohane XXII]] kuwa [[mtakatifu]] tarehe [[18 Julai]] [[1323]], halafu na [[Papa Pius V]] kuwa [[mwalimu wa Kanisa]] mwaka [[1567]]. Kwa Kilatini anaitwa ''Doctor Angelicus'' (''Mwalimu wa Kimalaika'') au ''Doctor Communis'' (''Mwalimu wa wote'').
 
Mnyofu, mkimya, aliyekuwa tayari kutumikia, kiutu alipendwa na wote, naye alipendelea watu wa chini, akihubiria ma[[fukara] kwa [[usahili]] na [[wema]] hata zaidi ya mara moja kwa siku.
 
Ni [[msimamizi]] wa [[wanateolojia]], [[wanachuo]], watoaji na wauzaji wa vitabu, [[wanafunzi]] na [[shule]].
 
[[Sikukuu]] yake niinaadhimishwa kila mwaka tarehe [[28 Januari]].
 
== Maisha ==
Line 43 ⟶ 41:
Wakati huo Thoma alipinga falsafa ya wafuasi wa [[Mwarabu]] [[Averroe]] waliosema [[imani]] haiwezi kupatana na [[akili]]: "Imani ni kwa watu wanyofu, falsafa ni kwa wasomi".
 
Thoma alipambana pia na [[Waagustino]] ambao walifuata falsafa ya [[Plato]] nahata kusema ile ya Aristoteli haipatani na imani.
 
Mwaka [[1259]] alirudi Italia na kushirikiana na [[Papa Urbano IV]], akiishi kwenye konventi ya [[Orvieto]]. Kwa agizo lake, Thoma alitunga au kupanga matini ya [[liturujia]] yote ya sikukuu mpya ya ''[[Corpus Domini]]'' ([[Mwili na Damu ya Kristo]]) iliyoanzishwa tarehe [[8 Septemba]] [[1264]]. Kati ya matini hayo, maarufu zaidi kimataifa mpaka leo ni utenzi ''[[Pange Lingua]]'', hasa sehemu ya mwisho inayoanzia na maneno ''[[Tantum Ergo]]'' (''Sakramenti Kubwa Hiyo'').
 
Halafu alihamia Roma ili kupanga [[kozi]] za [[chuo]] cha [[santaSanta Sabina]] na mwaka [[1267]], [[Papa Clemens IV]] alimuita kwake [[Viterbo]], alipohubiri mara nyingi katika [[kanisa]] la [[Santa Maria Nuova]].
 
Akiwa Italia ndipo alipoandika vitabu vingi kama vile ''Summa contra gentiles'', ''De regimine principium'', ''De unitate intellectus contra Averroistas'' na sehemu kubwa ya kazi yake bora, ''[[Summa Theologiae]]'', inayotumika hadi leo katika [[teolojia]].
Line 55 ⟶ 53:
Mwaka [[1272]], akiitwa na mfalme [[Karolo I wa Angiò]], alirudi Napoli na kupanga upya masomo ya teolojia kwenye chuo kikuu karibu na konventi yake asili.
 
Tarehe [[6 Desemba]] [[1273]], katika kanisa la [[San Domenico Maggiore]], alitoka nje ya nafsi yake na tangu siku hiyo aliacha kuandika, akimueleza ndugu [[Reginaldo dawa Piperno]], msaidizi na muungamishi wake: «Yale yote niliyoyandika naona ni fungu dogo la majani makavu kulingana na yale ambayo nimeyaona na kufunuliwa. Ndio mwisho wa kuandika kwangu na natumaini umekaribia pia mwisho wa maisha yangu.»
 
Ndiyo sababu ''Summa Theologiae'' haikukamlikahaikukamilika (inaishia kwenye mada ''De Poenitentia'', yaani ya [[Kitubio]]).
 
Mnamo Januari [[1274]] [[Papa Gregori X]] alimuagiza ashiriki [[Mtaguso wa pili wa Lyon]], na Thoma akafunga safari, ingawa hali yake haikuwa nzuri.
Ndiyo sababu ''Summa Theologiae'' haikukamlika (inaishia kwenye mada ''De Poenitentia'', yaani ya [[Kitubio]]).
 
Alilazimika kusimama kwenye ngome ya [[Maenza]], lakini alipoona hali inazidi kuwa mbaya asiweze kufikia konventi ya shirika, akitaka kufia [[monasteri]]ni, aliagiza aletwe kwenye [[abasia]] ya [[Waciteaux]] ya Fossa Nuova (leo [[Fossanova]], karibu na [[Priverno]], wilaya ya [[Latina]]), ambapo alifariki baada ya wiki chache.
Mnamo Januari [[1274]] [[Papa Gregori X]] alimuagiza ashiriki [[Mtaguso wa pili wa Lyon]], na Thoma akafunga safari, ingawa hali yake haikuwa nzuri.
 
Masalia yake yanatunzwa katika konventi ya [[Wadominiko]] ''des Jacobins'' huko [[Tolosa]] ([[Ufaransa]]).
Alilazimika kusimama kwenye ngome ya [[Maenza]], lakini alipoona hali inazidi kuwa mbaya asiweze kufikia konventi ya shirika, akitaka kufia [[monasteri]]ni, aliagiza aletwe kwenye [[abasia]] ya [[Waciteaux]] ya Fossa Nuova (leo [[Fossanova]], karibu na [[Priverno]], wilaya ya [[Latina]]), ambapo alifariki baada ya wiki chache.
 
==Sala yake==