Dini asilia za Kiafrika : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
DINI KATIKA UTAMADUNI WA KIZUNGU NA AFRUKA-BY SHIJA MALALE |
No edit summary |
||
Mstari 1:
Katika amri kumi, waafrika walikuwa nazo hata kabla ya kuja kwa wazungu, waliwaheshimu wazazi wao, hawakuua, kuiba au kufanya kinyume na maagizo ya wazee wao.tatizo ni kwamba, Mungu mwenyewe alitoa namna ya kumwabudu, hakutaka tumwabudu kupitia wafu au mizimu, bali tumwabudu kupitia roho mtakatifu yaani uweza wake mwenyewe.
Hata wanaojiita wakristo kwa sasa yawapasa kuwa makini na kutambua wanachokiabudu, haijalishi we ni mkristo wa dhehebu gani au wewe ni mwislamu, jaribu kuchunguza kama unamwabudu mungu kupitia wafu. maana hakuna mtakatifu aliyekufa na mungu akawaagiza muombe kupitia hao wafu.
Ukitaka kumwabudu mungu, fuata Amri zote kumi huku ukimtegemea yeye tu.
Imeandikwa na
SHIJA MALALE SHIJA
CHUO KIKUU CHA DODOMA
|