Nyuki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q3678601 (translate me)
Masahihisho
Mstari 2:
| rangi = pink
| jina = Nyuki
| picha = BeeXylocopa oncaffra Geraldton Wax FlowerFemale.JPGjpg
| upana_wa_picha = 300px
| maelezo_ya_picha = NyukiKike anayekusanyawa mbelewelenyuki-mbao (''Xylocopa caffra'')
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] (Wanyama)
| faila = [[Arthropodi|Arthropoda]] (Wanyama wenye miguu yenye viungo)
Mstari 18:
*[[Xylocopinae]]
}}
'''Nyuki''' ni [[mdudu|wadudu]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Apidae]] wenye mabawa manne angavu na mwiba kwenye nyuma ya mwili wao wanaokusanya [[mbelewele]] na [[mbochi]] ya [[maua]] kama chakula chao. Aina[[Spishi]] inayojulikana hasa ni [[nyuki-asali]] (''[[Apis mellifera]]'') ambaye hufugwa kila mahali duniani. Kuna spishi zaidi ya 20,000 zinazojumlishwa na biolojia kati ya nyuki lakini ni wale wa jenasi ''[[Apis]]'' wanaotengeneza [[asali]] inayovunwa na wanadamu.
 
'''Nyuki''' ni [[mdudu|wadudu]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Apidae]] wenye mabawa manne angavu na mwiba kwenye nyuma ya mwili wao wanaokusanya [[mbelewele]] na [[mbochi]] ya [[maua]] kama chakula chao. Aina inayojulikana hasa ni [[nyuki-asali]] ''[[Apis mellifera]]''. Kuna spishi zaidi ya 20,000 zinazojumlishwa na biolojia kati ya nyuki lakini ni wale wa jenasi ''[[Apis]]'' wanaotengeneza [[asali]] inayovunwa na wanadamu.
 
Nyuki-asali mara nyingi wanafugwa lakini wengine wanaishi porini na asali yao inakusanywa kwa kuvunja mzinga wao. Katika Afrika kwa jumla sehemu ya asali bado inatokana na nyuki asali wa porini lakini ufugaji nyuki unapanua.
 
[[Picha:HoneyBeeAnatomy.svg|thumb|200px|left|Mwili wa nyuki]]
Line 32 ⟶ 29:
 
== Wadudu wa kijamii ==
Nyuki-asaliSpishi kadhaa za nyuki ni wadudu wa kijamii maana yake wanaishi katika kundi si peke yao kama aina nyingine za nyuki. Wanajenga [[sega]] ya [[nta]] ndani ya [[mzinga wa nyuki]] na humu wanatunza asali [[yao]].
 
Kuna aina tatu za nyuki ndani ya kundi na mzinga wao ambao ni
Line 38 ⟶ 35:
* nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama kukusanya mbelewele na mbochi, kusafisha mzinga, kutengeneza nta, kujenga sega, kumlisha malkia na majana, kultetea mzinga
* nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kukwea malkia lakini si yule wa mzinga wake kwa kawaida; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena
 
==Spishi na nususpishi za Afrika==
* ''Apis mellifera''
** ''Apis m. adansonsii'', [[Nyuki-asali wa Adanson]]
** ''Apis m. capensis'', [[Nyuki-asali kusi]]
** ''Apis m. intermissa'', [[Nyuki-asali mweusi]]
** ''Apis m. jemenitica'', [[Nyuki-asali wa Pembe la Afrika]]
** ''Apis m. lamarckii'', [[Nyuki-asali wa Lamarck]]
** ''Apis m. litorea'', [[Nyuki-asali pwani]]
** ''Apis m. major'', [[Nyuki-asali wa Maroko]]
** ''Apis m. monticola'', [[Nyuki-asali milimani]]
** ''Apis m. nubica'', [[Nyuki-asali wa Sudani]]
** ''Apis m. sahariensis'', [[Nyuki-asali jangwani]]
** ''Apis m. scutellata'', [[Nyuki-asali wa Afrika]]
** ''Apis m. unicolor'', [[Nyuki-asali wa Madagaska]]
 
==Spishi za Asia==
* ''Apis florea'' ([[w:Apis florea|Red Dwarf Honey Bee]])
* ''Apis andreniformis'' ([[w:Apis andreniformis|Black Dwarf Honey Bee]])
* ''Apis dorsata'' ([[w:Apis dorsata|Giant Honey Bee]])
* ''Apis cerana'' ([[w:Apis cerana|Asiatic Honey Bee]])
* ''Apis nigrocincta'' ([[w:Apis nigrocincta|Philippine Honey Bee]])
 
{{commonscat|Bee|Nyuki}}