Redio : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 115 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q872 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:SABA Radiogeraet.jpg|thumb|right|200px|Redio mnamo 1950]]
[[Image:Radio.jpg|thumb|right|200px|Redio mnamo 2000]]
Kwa kawaida
▲'''Redio''' ni chombo (kifaa) kinachopokea mawasiliano kutoka katika kituo cha redio na kuyabadilisha kuwa sauti.
▲Kwa kawaida redio inapokea kwa njia ya [[antena]] yake [[mawimbi sumakuumeme]] yanayosambazwa na antena ya kituo cha redio. Kuna pia aina za redio ambako mawasiliano hufika kwa umbo la alama za umeme katika waya. Mawasiliano ya sumakuumeme yanasambazwa pia kwa njia ya chomboanga au satelaiti lakini njia hii inahitaji vyombo maalumu na antena ya kawaida haitoshi.
==Historia==
Mwaka 1886 Mjerumani [[Heinrich Hertz]] alitambua mawimbi ya sumakuumeme. Wataalamu na muhandisi mbalimbali walifanya majaribio katika miaka iliyofuata kutumia mawimbi haya kwa mawasiliano, kati yao Mwitalia [[Guglielmo Marconi]],
Kituo cha kwanza cha
Katika miaka iliyofuata redio ilisambaa kote duniani. Ni njia muhimu ya kusambaza habari pamoja na utamaduni hasa muziki.
|