Kikuyu (lugha) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 23:
Kama lugha ya Kibantu ni sehemu ya lugha za Niger-Kongo.
 
Wasemaji wanaishi kiasili kwenye nyanda za juu za Kenya ya Kati kati ya [[Nyeri]] na [[Nairobi]]. Siku hizi wanapatikana kote Kenya. Lugha ina vikundi vinne vya [[lahaja]] ambazo ni za [[Kirinyaga]], Muran[[Murang'gaa]], [[Nyeri]] na [[Kiambu]].
 
Gikuyu inafanana kwa kiasi kikubwa na [[Kiembu]], [[Kimeru]] na [[Kikamba]].
 
==Fasihi na media==
Tangu zamani za koloni Gikuyu imewahi kuandikwa. Vitabu vya kwanza kwa Gikuyu vilikuwa [[Biblia]] na vitabu vya ibada. Tangu uhuru waandishi mbalimbali walianza kuandika. Anayejulikana zaidi ni [[Ngugi wa Thiong'o]] na kati ya riwaya zake iko "Mũrogi wa Kagogo". Waandishi wengine ni [[Mwangi wa Mutahi]] na [[Gatua wa Mbugwa]].
 
Mjini Nairobi kuna pia [[rungoya]] ya Gikuyu na pia vipindi vya [[runingatyubu]].
 
== Viungo vya Nje ==