Ali Hassan Mwinyi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Ali Hassan Mwinyi''' (amezaliwa
Mwinyi alizaliwa kwenye kisiwa cha [[Unguja]] (Zanzibar).
Wakati wa urais wa Mwinyi, sera za [[Ujamaa]] zilianza kugeuzwa. Badala yake sera za [[soko huru]] zilianzishwa, masharti ya kuingiza bidhaa kutoka nchi za nje yalipunguzwa na uanzishaji wa biashara ya watu binafsi ulihamasishwa. Mwaka wa 1991, uanzishaji wa vyama vingi uliruhusiwa.
Sera za soko huru za Mwinyi zimeendelezwa chini ya Rais Benjamin Mkapa. Mwinyi mwenyewe, baada ya kustaafu, hakujiingiza katika mambo ya siasa tena. Anaendelea kuishi huko [[Dar es Salaam]].
[[Category:Marais wa Tanzania|Mwinyi, Ali Hassan]]
[[de:Ali Hassan Mwinyi]]
[[en:Ali Hassan Mwinyi]]
[[ja:アリ・ハッサン・ムウィニ]]
|