Umoja wa Mataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 4 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1065 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Flag of the United Nations.svg|thumb]]
'''Umoja wa Mataifa''' (UM) ni umoja wa [[nchi]] zote [[dunia]]ni isipokuwa zile zisizotambuliwa kuwa [[dola huru]].
 
'''Umoja wa Mataifa''' (UM) ni umoja wa [[nchi]] karibu zote [[dunia]]ni;huu ulianzishwa mwaka [[1945]] na nchi washindi wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]].; Umoja huu ulianzishwa na nchizilikuwa 51 nalakini kufikia mwaka [[20052013]] kunakulikuwa na nchi 191 ambazo ni193 wanachama, wambali umojana huu.[[Ukulu Dhumuni la umoja huu ni kuratibu mahusiano ya kimataifa kupitia sheriamtakatifu]] na mikataba[[Palestina]] yaambazo kimataifazinashiriki kwenyekama maeneo[[watazamaji kamawa usalamakudumu]], amani,zikiwa maendeleona yahaki jamii,karibu [[hakizote zaisipokuwa binadamu]],kupiga n.kkura.
 
Dhumuni la umoja huu ni kuratibu mahusiano ya kimataifa kupitia [[sheria]] na mikataba ya kimataifa kwenye maeneo kama [[usalama]], [[amani]], [[maendeleo ya jamii]] na ya [[uchumi]], [[haki za binadamu]], [[uhuru]], [[demokrasia]] n.k.
Makao makuu ya Umoja wa Mataifa yako [[New York]] nchini [[Marekani]].
 
UmojaToka huumwanzo ulichukuamakao nafasimakuu ya [[ShirikishoUmoja lawa Mataifa yako [[New York]] (1919nchini - 1946)[[Marekani]].
 
Umoja huu ulichukua nafasi ya [[Shirikisho la Mataifa]] ([[1919]] - [[1946]]).
Nchi za pekee zisizo wanachama wa UM ni Dola la [[Vatikano]] lililokataa uanachama, [[Palestina]] ambayo haijatangaza hali ya dola la kujitegemea bado na [[Taiwan]] isiyotambuliwa kuwa nchi ya kujitegemea bali sehemu ya [[Uchina]].
 
[[Lugha rasmi]] za UM ni sita: [[Kiarabu]], [[Kichina]], [[Kiingereza]], [[Kifaransa]], [[Kirusi]] na [[Kihispania]].
[[Katibu Mkuu wa UM]] ni [[Ban Ki-moon]] kutoka [[Korea ya Kusini]]. Ban Ki-moon alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu mwaka 2006 akachukua nafasi ya [[Kofi Annan]].
 
[[Katibu Mkuu wa UM]] anachaguliwa kwa miaka mitano; kwa sasa ni [[Ban Ki-moon]] kutoka [[Korea ya Kusini]]. Ban Ki-moon alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu mwaka [[2006]] akachukuaakichukua nafasi ya [[Kofi Annan]], akaongezewa kipindi kingine tena.
 
== Muundo wa UM ==
[[File:UN General Assembly hall.jpg|thumb|[[Ukumbi]] wa UM.]]
UM una vyombo sitavitano:
* [[Mkutano Mkuu wa UM]] (United Nations General Assembly)
* [[Baraza la Usalama la UM]] (United Nations Security Council)
Line 19 ⟶ 23:
* [[Baraza la Uchumi na Ustawi wa Jamii la UM]] (ECOSOC)(Economic And Social Council)
 
Cha sita kilikuwa [[Baraza la Wafadhili la UM]] (Trusteeship Council)imesimamisha, ambacho kimesimamisha kazi yake [[1994]].
 
== Vyama vya pekee vya UM ==
Line 28 ⟶ 32:
* [[ILO]] (International Labour Organization)
* [[IMF]] (International Monetary Fund)
 
* [[UNCTAD]] (United Nations Conference on Trade and Development)
* [[ITC]] (International Trade Centre (UNCTAD/WTO)
Line 40 ⟶ 43:
* [[UN-HABITAT]] (United Nations Human Settlements Programme)
* [[UNRWA]] (United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East)
 
* [[IAEA]] (Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia) inashirikiana na UM na kutoa taarifa mbele ya Baraza la Usalama hata kama si chini ya katiba ya UM
 
* [[UNDIO]] ( United Nations Data and Information Organization)
 
Line 62 ⟶ 63:
** [http://www.un.org/events/panel/ High-level Panel on United Nations Systemwide Coherence]
** [http://www.unric.org The United Nations Regional Information Centre (UNRIC)]
 
{{mbegu-siasa}}