Wahaya : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Wahaya''' ni Kabilakabila linalopatikana katika [[Mkoa wa Kagera]], Kaskazini Magharibi mwa [[Tanzania]], kandokando mwaya [[Ziwa Victoria]]. Lugha yao ni [[Kihaya]].
 
Kabila la kihaya ndo kabila kubwa katika mkoa wa Kagera kutokana na sensa iliyofanyika siku za karibuni. Kabira hili ni kubwa, na ndani yake kuna vijikabira vidogovidogo, kama vile waziba wa Kiziba, wahamba wa Muhutwe, wayoza wa Bugabo, wanyaiyangilo wa Muleba, wasubi wa Biharamulo, wanyambo wa karagwe, nk. Utofauti wa vijikabira unatambulika kutokana na rafudhi ya kihaya ya hiyo sehemu, chakula, ngoma zake za asili, majina ya asili, nk.
Kabila hilo ndilo kubwa kuliko yote ya mkoa wa Kagera, ila ndani yake kuna vijikabila vidogovidogo, kama vile Waziba wa [[Kiziba]], Wahamba wa [[Muhutwe]], Wayoza wa [[Bugabo]], Wanyaiyangilo wa [[Muleba]], Wasubi wa [[Biharamulo]], Wanyambo wa [[Karagwe]] nk.
 
Tofauti kati ya vijikabira zinatambulika kutokana na [[lafudhi]] ya Kihaya ya hiyo sehemu, [[chakula]], [[ngoma za asili]], majina ya asili, n.k.
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
 
{{DEFAULTSORT:Haya}}
 
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]