Nyuki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
Masahihisho
Mstari 4:
| picha = Xylocopa caffra Female.jpg
| upana_wa_picha = 300px
| maelezo_ya_picha = KikeJike wala nyuki-mbao (''Xylocopa caffra'')
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] (Wanyama)
| faila = [[Arthropodi|Arthropoda]] (Wanyama wenye miguumwili yenyewenye viungo)
| nusufaila = [[Hexapoda]] (Wanyama wenye miguu sita)
| ngeli = [[Insecta]] (Wadudu)
Mstari 18:
*[[Xylocopinae]]
}}
'''Nyuki''' ni [[mdudu|wadudu]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Apidae]] wenye mabawa manne angavu na mwiba kwenye nyuma ya mwili wao. wanaokusanyaHukusanya [[mbelewele]] na [[mbochi]] ya [[maua]] kama chakula chao. [[Spishi]] inayojulikana hasa ni [[nyuki-asali]] (''[[Apis mellifera]]'') ambaye hufugwa kila mahali duniani. Kuna spishi zaidi ya 20,000 zinazojumlishwa na biolojia kati ya nyuki lakini ni wale wa jenasi ''[[Apis]]'' wanaotengeneza [[asali]] inayovunwa nakwa matumizi ya wanadamubinadamu.
 
[[Picha:HoneyBeeAnatomy.svg|thumb|200px|left|Mwili wa nyuki]]
== MwiliUmbo wala nyuki ==
Mwili una pande tatu jinsi ilvyo kwa wadudu wote: [[kichwa]] mbele, [[kidari]] katikati na [[tumbo]] nyuma, halafu jozi tatu za miguu na jozi mbili za mabawa.
 
Mwili huwa na nywele na ina rangi kali za njano-nyeusi kama onyo dhidi yakwa maadui.
 
Nyuma ya tumbo wanabeba mwiba wanaotumia kudunga wakijisikia wameshambuliwa. Wakidunga mwiba wanaingiza pia kiasi kidogo cha sumu katika kidonda. Sumu hii inasababisha maumivu na watu wengine wanaathiriwa vikali lakini si kila mtu. Kuna nyuki wanaokufa baada ya kudunga kwa sababu mwiba unabaki kwenye kidonda lakini wengine wanaweza kutoa mwiba na kudunga tena.
Mstari 31:
Spishi kadhaa za nyuki ni wadudu wa kijamii maana yake wanaishi katika kundi si peke yao kama aina nyingine za nyuki. Wanajenga [[sega]] ya [[nta]] ndani ya [[mzinga wa nyuki]] na humu wanatunza asali yao.
 
Kuna aina tatu za nyuki ndani ya kundi nahili mzinga wao ambaonao ni:
* malkia wa nyuki ni mama wa nyuki wote ndani ya kundi na kazi yake ni kutaga mayai pekee
* nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama vile kukusanya mbelewele na mbochi, kusafisha mzinga, kutengeneza nta, kujenga sega, kumlishakuwalisha malkia na majana, kulteteakulinda mzinga
* nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kukweakumpanda malkia lakiniambaye si yule wa mzinga wake kwa kawaida; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena
 
{{commonscat|Bee|Nyuki}}