Kisonono : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q101896 (translate me) |
Masahihisho |
||
Mstari 1:
'''Kisonono''' au '''kisalisali''' ni [[maradhi ya zinaa]] ambayo husababishwa na [[bakteria]] zinazofahamika kisayansi kama ''Neisseria gonorrhoeae''. Bakteria hizo hushambulia utandotelezi unaozunguka [[sehemu za siri]].
Ingawa kwa makisio maambukizi 360,000 ya kisonono huripotiwa kila mwaka nchini [[Marekani]], wataalamu wamekisia kuwa watu karibia 650,000 huambukizwa kwa mwaka.
Mstari 7:
Kisonono huonekana kwa urahisi kwa wanaume ambao hutoa [[usaha]] kutoka katika mfereji wa mkojo (''urethra''). Huanza kidogo, lakini huongezeka na huwa mwingi na kusababisha kusikia haja ya kukojoa mara kwa mara huku kukiwa na maumivu.
Kisonono ikisambaa na kufikia ''[[
Kisonono isiyotibiwa inaweza kusababisha PID kwa wanawake. Watoto wanaozaliwa na mama wenye kisonono huwa na hatari ya kuambukizwa wakati wa kuzaliwa; maambukizo haya yanaweza kusababisha magonjwa ya [[meno]] kwa wachanga.
Mstari 15:
Kisonono iliongezeka kwa kiasi kikubwa [[Marekani]] mnamo miaka ya [[1970]] na mwanzoni mwa miaka ya [[1980]], hadi kukaribia kufikia kiwango cha [[magonjwa ya mlipuko]] (''epidemic proportions'') kwa vijana wanaobalehe na watu wa [[umri wa kati]].
Kisonono hutibiwa kwa [[
[[Jamii:Maradhi ya zinaa|Kisonono]]
|