Tofauti kati ya marekesbisho "Burundi"
no edit summary
d (Bot: Migrating 176 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q967 (translate me)) |
|||
'''Jamhuri ya Burundi''' (iliyojulikana zamani kama '''Urundi''') ni nchi ndogo ambayo iko karibu na [[Maziwa Makubwa (Afrika)|Eneo la Maziwa Kubwa]] ya [[Afrika]]. Burundi imepakana na [[Rwanda]] upande wa kaskazini, [[Tanzania]] upande wa mashariki, na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] upande wa magharibi. Ingawa Burundi haina bahari sehemu ya mpaka wake eneo la mashariki uko karibu na [[Ziwa Tanganyika]]. Jina lenyewe la nchi hii, limetokana kwa msingi na kutanuka kwa lugha ya [[Kirundi]] ambacho ni [[lugha ya Kibantu]].
Burundi ni nchi ndogo iliyomo barani [[Afrika]]. Mara kadhaa nchi hii imekuwa na misukosuko na machafuko ya kisiasa na kijamii. Shida kubwa ni kuwa Burundi haina maliasili kutosheleza umma na kutosheleza ratili ya kisiasa kwa walio wengi [[Wahutu]] na walio wachache [[Watutsi]] na [[Watwa]
Kwa orodha ya Marais wa nchi tangu uhuru, angalia [[Orodha ya Marais wa Burundi|hapa]].
|