Meno : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q561 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[File:Cross sections of teeth intl.svg|thumb|300px|Meno]]
'''Meno''' ni viungo vyenye asili ya mifupa vilivyo katika mataya ya [[viumbe vyenye uti wa mgongo]] vinavyotumika kwa kutafunia na kung'ata au kwa ajili ya kujilinda au kushambulia. Kwa [[banadamu]] meno hupatika [[kinywani]]. Kazi kubwa ya meno kwa binadamu ni katika [[umeng'enyaji wa chakula]] anachokula na mara chache katika kusaidia kukata vitu mbalimbali kama kutatua kitambaa au kukata kamba au waya. Binadamu ana aina mbalimbali za meno zinazomsadia kula vyakula vya aina mbalimbali kama vile vya mimea na wanyama. Kwa kawaida mtu mzima huwa na meno thelathini na mbili.