Waluguru : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 5 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q2625797 (translate me)
Pius Angelo
Mstari 1:
'''Waluguru''' ni kabila la [[Tanzania]] wanaoishi katika mikoa ya [[Mkoa wa Morogoro|Morogoro]] na [[Mkoa wa Pwani|Pwani]], hasa kwenye [[Milima ya Uluguru]]. Lugha yao ni [[Kiluguru]].
 
Waluguru ni kabila ambalo limeenea sana katika nyanda za kusini katika mkoa wa Morogoro, hasa katika wilaya ya Morogoro vijijini ukianzia Matombo kuelekea Dutumi hadi Bwakila juu. Tamaduni na mila ya Waluguru hufahamika sana katika suala la kucheza ngoma za asili kati ya miezi ya kumi hadi mwez wa kwanza hasa wale wanaoishi vijiji vya longwe, temekelo, mgata, kumba, singisa, bwakira, kolero, nyamighadu. Na vinginevyo vingi ambavyo sitaweza kuvitaja kwa kimoja kimoja. Vyakula vya asil ni magimbi, matuwi, na mahimbi pamoda na muhogo ndo chakula kikuu cha waluguru.
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{fupi}}
{{DEFAULTSORT:Luguru}}
 
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]