Teresa wa Mtoto Yesu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 9:
== Maisha ==
[[Picha:TdL-1881.JPG|thumb|left|120px|Teresa mwaka 1881 akiwa na umri wa miaka 8.]][[Picha:therese.jpg|250px|thumbnail|left|Teresa muda mfupi kabla ya kusafiri kwenda [[Italia]] ([[1887]])]]
 
[[Picha:Teresadarco.jpg|thumb|right|170px|Teresa akiigiza kama Yoana wa Arc (1895)]]
[[Picha:Basilique de Lisieux.JPG|left|thumb|250px|Basilika la Lisieux, lenye eneo la 4500 m<sup>2</sup> na urefu wa mita 95, lililojengwa kwa heshima yake mwaka [[1937]]]]
Teresa, mtoto wa tisa na wa mwisho wa Louis Martin na Marie-Azélie Guérin (Zélie), ambao wanaheshimiwa kama [[wenye heri]], alizaliwa tarehe 2 Januari 1873 kwenye barabara rue Saint-Blaise 42, huko Alençon (Ufaransa).