Waberberi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d fixing dead links |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Berbers.png|thumb|right|Maeneo
'''Waberberi''' ni wakazi asilia wa [[Afrika ya Kaskazini]] kuanzia [[
Kabila lao mojawapo linalojulikana hasa ni [[Watuareg]] wanaokalia maeneo ya [[jangwa]] kubwa la Sahara.
Wanaoendelea kutumia lugha ya [[Tamazight]] (au: [[Kiberber]]) kama lugha ya kwanza ni:
* takriban theluthi ya watu huko [[Moroko]],
* asilimia 10-15 nchini [[Algeria]],
* labda
* idadi ndogo zaidi wako [[Tunisia]],
* laki kadhaa huishi katika nchi za Sahara kama [[Mali]] na [[Niger]] halafu
* wako kwa idadi ndogo [[Burkina Faso]], [[Misri]] na [[Mauritania]].
* Kutokana na [[uhamiaji]] kuna nusu milioni nchini [[Ufaransa]].
Katika nchi kavu jangwani au karibu na jangwa maisha yao ni ya [[ufugaji]] na kuhamahama. Mlimani
==Historia==
▲Katika nchi kavu jangwani au karibu na jangwa maisha yao ni ya ufugaji na kuhamahama. Mlimani walilima. Leo hii ni hasa [[Watuareg]] wanaoendelea na maisha ya kuhamahama.
Katika [[historia]] wamejulikana tangu
Kabla ya unenezaji wa [[Uislamu]] wengi walikuwa [[Wakristo]] na mashuhuri kati hao alikuwa [[Monika]], mama wa [[Agostino wa Hippo]].
▲Katika historia wamejulikana tangu mwanzo wa historia kuandikwa. Waroma na Wagiriki wa Kale waliwaita kwa majina kama Wanumidia, Wagaramanti au Walibya.
== Viungo vya
* [http://web.archive.org/20040131061703/www.historycooperative.org/journals/jwh/14.4/smith.html Richard L. Smith, Ferrum College, What Happened to the Ancient Libyans? Chasing Sources across the Sahara from Herodotus to Ibn Khaldun, Journal of World History, vol. 14, no. 4, 2003 Online article]
|