Kibanda-Ndele : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d →‎Viungo vya nje: kiungo cha kisasa cha Ethnologue using AWB
Sudan --> Sudan Kusini
Mstari 1:
'''Kibanda-Ndele''' ni [[Lugha za Kiniger-Kongo|lugha ya Kiniger-Kongo]] nchini [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]] inayozungumzwa na [[Wabanda]]. Mwaka wa 1996 idadi ya wasemaji wa Kibanda-Ndele imehesabiwa kuwa watu 35,500. Pia kuna wasemaji nchini [[Sudan Kusini]] ambao idadi yao haijulikani. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibanda-Ndele kiko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.
 
==Viungo vya nje==
Mstari 10:
{{DEFAULTSORT:Banda-Ndele}}
[[Jamii:Lugha za Jamhuri ya Afrika ya Kati]]
[[Jamii:Lugha za Sudan Kusini]]