Sintaksi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 81 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q37437 (translate me) |
+kuongezea nyama kiufafanuzi zaidi |
||
Mstari 1:
'''Sintaksi''' (au '''sarufi miundo/muundo''') ni tawi la [[isimu]] au taaluma ya sarufi inayoshughulikia namna ambavyo vikundi vya maneno na sentensi mbalimbali zinajengwa katika [[lugha]].
'''Mfano, ukubwa kwenda udogo:'''
5. Sentensi
4. Kishazi
3. Kirai
2. Neno
1. Mofimu
Taaluma nyingine za sarufi ni pamoja na [[fonolojia]], [[mofolojia]] au [[semantiki]].
== Marejeo ==
|