Wimbo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
sawazisho
Mstari 1:
'''Wimbo''' au '''nyimbo''' ni aina ya [[sanaa]] katika [[fasihi]] ambayo hutumia lugha teule, sauti na kiimbo maalumu. Aghalabu wimbo/nyimbo hutumia ala za mziki kama vile ngoma. Nyimbo zinaweza kuimbwa na mtu mmoja au zaidi.
'''Wimbo''' au '''nyimbo''' ni mpangilio wa sauti wenye kuleta maana/lengo linalokusudiwa,mara nyingi nyimbo huambatana na ala/vyombo vya muziki kama vile ngoma, marimba, zeze n.k,nyimbo hizi huweza kuwa za kikabila ambazo huimbwa kwa lugha za kabila husika,vilevile nyimbo huweza kuimbwa kwa lugha ya kiswahili,mfano; wimbo wa taifa, na nyimbo za rika la kati(bongofleva)n.k
Wimbo hugawanywa katika beti na mishororo. Nyimbo nyingi huwa na kiitikio au mstari ambao hurudiwa-rudiwa.
==Aina za nyimbo==
 
{{mbegu-muziki}}