Walinzi wa amani wa UM : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '350px|thumbnail|Walinzi wa amani wa UM kutoka Nepal nchini Somalia waka 1993 '''Walinzi wa amani wa Umoja wa Mataifa'''...' |
No edit summary |
||
Mstari 6:
Kikosi cha kwanza kiliundwa mwaka 1948 kusimamia mapatano ya kusimamia mapigano katika [[Palestina]] baada ya vita ya kwanza kati ya Israeli na nchi ya Kiarabu. Baada ya [[vita ya Suez]] mwaka 1956 walinzi wa mani walitumwa mara ya kwanza wakibeba silaha. Tangu kuingia katika vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Kongo walinzi wa amani huvaa kofia buluu na kuandika herufi "UN" (=UM) kwenye magari yao.
Msingi wa kutuma
Mwaka 2014 kulikuwa na walinzi wa amani mahali 16 duniani wakiwa na jumla ya wanajeshi na wafanyakazi 116.517. Nchi zinazotoa wanajeshi ni hasa [[Pakistan]], [[Uhindi]] na [[Bangladesh]], kila nchi takriban 8.000. Hadi 31 Machi 2014 jumla ya walinzi 3215 waliuawa, 2320 kati ya hao walikuwa wanajeshi, 232 polisi, 322 wafanyakazi wa UM kutoka nchi husika na 228 wafanyakazi raia wa kimataifa.
|