Waorthodoksi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 29 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q383258 (translate me) |
viungo, kunyosha |
||
Mstari 1:
'''Waorthodoksi''' ni [[Ukristo|Wakristo]] wanaofuata
Jina hilo lina asili ya [[Kigiriki]] likitokana na maneno όρθος ("orthos", yaani "nyofu", "sahihi") na δόξα ("doksa", yaani "rai", "fundisho") yaani "wenye fundisho sahihi".
Jina hilo lilitungwa ili kutofautisha Wakristo waliofuata mafundisho rasmi ya imani yaliyotolewa na [[Mitaguso ya kiekumene]] dhidi ya
Kwa namna ya pekee jina hilo lilitumika upande wa mashariki, hivi kwamba lilipotokea
Hivi karibuni hata makanisa mengine ya mashariki yamechagua kujiita hivyo, ingawa yanaendelea kukataa sehemu ya mitaguso mikuu iliyokubaliwa na Wakristo walio wengi.
[[Category:Ukristo]]
|