Teresa wa Mtoto Yesu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d The file Image:Teresadarco.jpg has been removed, as it has been deleted by commons:User:Fastily: ''commons:Commons:Deletion requests/images of Thérèse of Lisieux''. ''Translate me!'' |
No edit summary |
||
Mstari 3:
'''Teresa wa Mtoto Yesu na wa Uso Mtakatifu''' ([[Alençon]], [[Ufaransa]], [[2 Januari]] [[1873]] - [[Lisieux]], Ufaransa, [[30 Septemba]] [[1897]]) ni jina la kitawa la '''Thérèse Françoise Marie Martin''', maarufu pia kwa jina la '''Teresa wa Lisieux''', anayeheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]] mwenye sifa za [[bikira]] na [[mwalimu wa Kanisa]].
Akifurahia [[udogo]] wake, Teresa alijitokeza kama “[[mtaalamu]] wa [[elimu ya upendo]]” ([[Papa Yohane Paulo II]]), ambayo inajumlisha kweli zote za [[imani]], hasa katika [[shajara]] zake alimosimulia kwa [[unyofu]] wa hali ya juu jinsi kwa [[neema]] alivyoelewa na kutekeleza [[Injili]] katika maisha yake yaliyofichika ndani ya [[monasteri]] ya [[Wakarmeli Peku]].
Tangu mwaka [[1927]] ni [[msimamizi]] wa [[wamisionari]] wote (pamoja na [[Fransisko Xavier]]), na tangu mwaka [[1944]] wa [[Ufaransa]] (pamoja na [[Yoana wa Arc]]).▼
▲Tangu mwaka [[1927]] ni [[msimamizi]] wa [[wamisionari]] wote (pamoja na [[Fransisko
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe [[1 Oktoba]].
== Maisha ==
===Asili na utoto===
[[Picha:TdL-1881.JPG|thumb|left|120px|Teresa mwaka 1881 akiwa na umri wa miaka 8.]][[Picha:therese.jpg|250px|thumbnail|left|Teresa muda mfupi kabla ya kusafiri kwenda [[Italia]] ([[1887]])]]▼
Teresa, mtoto wa tisa na wa mwisho wa Louis Martin na Marie-Azélie Guérin (Zélie), ambao wanaheshimiwa kama [[wenye heri]] tangu tarehe [[19 Oktoba]] [[2008]], alizaliwa tarehe 2 Januari 1873 kwenye barabara
[[Picha:Basilique de Lisieux.JPG|left|thumb|250px|Basilika la Lisieux, lenye eneo la 4500 m<sup>2</sup> na urefu wa mita 95, lililojengwa kwa heshima yake mwaka [[1937]]]]▼
▲Teresa, mtoto wa tisa na wa mwisho wa Louis Martin na Marie-Azélie Guérin (Zélie), ambao wanaheshimiwa kama [[wenye heri]], alizaliwa tarehe 2 Januari 1873 kwenye barabara rue Saint-Blaise 42, huko Alençon (Ufaransa).
Walipokuwa vijana wazazi wake walitaka kuingia utawani, wasiweze. Baada ya kuoana, maisha yao yote yaliongozwa na [[imani]] na [[maadili]] ya [[Ukristo]].
Mstari 17:
Teresa alipozaliwa, watoto 4 walikuwa wameshafariki.
Teresa
Lakini uhusiano wa pekee hasa alikuwa nao kwa dada zake Paulina na Maria, akiwaona kama mama zake.
Teresa alisimulia alivyoponywa [[ugonjwa wa nafsi]] yake kwa kutokewa na [[Bikira Maria]] akimtabasamu. Baadaye alipokea [[komunyo ya kwanza]] na katika kuungana hivyo na [[Yesu]] alimfanya [[kiini]] cha maisha yake.
===Wito===
▲[[Picha:TdL-1881.JPG|thumb|left|120px|Teresa mwaka 1881 akiwa na umri wa miaka 8.]][[Picha:therese.jpg|250px|thumbnail|left|Teresa muda mfupi kabla ya kusafiri kwenda [[Italia]] ([[1887]]).]]
Mwaka 1882, Paulina alipoingia [[monasteri]] ya [[Wakarmeli]] ya Lisieux, angetaka kumfuata, lakini hakuweza kutokana na umri wake mdogo. Zaidi tena alitaka kufanya hivyo Maria pia alipoingia monasteri hiyohiyo mwaka [[1886]].
Usiku wa [[Noeli]] iliyofuata, alishinda moja kwa moja [[huzuni]] yake iliyomfanya alielie daima. Alielewa anahitaji kumtafuta [[Mungu]] kwa [[ukomavu]] zaidi na kujipatia hivyo "elimu ya upendo".
Mwenyewe aliita neema hiyo “[[wongofu]] kamili”, na tangu hapo alianza “kupiga [[mbio]] kama [[jitu]]”.
Alipofikia umri wa miaka 14 Teresa alizidi kushikamana kwa imani na [[Yesu msulubiwa]], akajitosa kwa “[[moyo wa kimama]]” kumuombea [[muuaji]] aliyeonekana kukabili [[adhabu ya kifo]] bila kutubu. “Nilitaka kwa [[gharama]] yoyote kumzuia asiende [[moto]]ni [[milele]]… Nilikuwa na [[tumaini]] kubwa kabisa katika [[Huruma]] ya Yesu isiyo na mipaka”. Ndiyo [[mang’amuzi]] yake ya kwanza ya [[umama wa kiroho]].
Alipofikia umri wa miaka 14 Teresa alianza kupigania [[wito]] wake dhidi ya upinzani wa watu mbalimbali waliotaka kuahirisha hatua ya kujiunga na [[utawa]]. Kwa ajili hiyo alisafiri hadi [[Roma]] akaombe ruhusa ya [[Papa Leo XIII]], lakini alikataliwa kwa wema. Kitu hicho kilimsikitisha lakini bila kumhangaisha, kwa sababu alijua amefanya kila aliloweza ili kuitikia wito wake mapema.▼
▲
Wakati wa kurudi Ufaransa, [[askofu]] wake aliamua kubadili msimamo na kumruhusu. Hivyo tarehe 9 [[Aprili]] [[1888]] msichana Teresa alingiia [[Karmeli]], akiwa na miaka 15 tu. Ile tisa iliyofuata ikawa na [[maendeleo ya kiroho]] ya kasi ajabu.▼
===Kuingia monasteri===
▲Wakati wa kurudi Ufaransa, [[askofu]] wake aliamua kubadili msimamo na kumruhusu. Hivyo tarehe 9 [[Aprili]] [[1888]] msichana Teresa alingiia [[Karmeli]] “ili kuokoa roho za watu na kuombea mapadri”, akiwa na miaka 15 tu. Ile tisa iliyofuata ikawa na [[maendeleo ya kiroho]] ya kasi ajabu.
Wakati huohuo baba yake alianza kusumbuliwa na ugonjwa wa akili uliomtia [[tabu]] na [[aibu]] sana. Huo ukawa sababu ya [[uchungu]] mwingi hata kwa [[binti]] yake mpendwa, ambaye lakini kwa [[njia]] hiyo alijaliwa kutazama [[uso wa Yesu]] katika [[mateso]] yake.
===Kisha kuweka nadhiri===
Aliweka [[nadhiri]] zake za kwanza tarehe [[8 Septemba]] [[1890]], ikawa [[arusi ya kiroho]] katika udogo: “Ilikuwa siku ya [[Maria Kuzaliwa]]. Lo, [[sikukuu]] nzuri kweli kwa kuolewa na Yesu! [[Bikira]] mtakatifu katika udogo wake kama [[mtoto mchanga]] ndiye aliyemtoa aliye [[Ua]] lake dogo kwa Yesu mdogo”.
Kwa Teresa, kuwa [[mtawa]] maana yake ilikuwa kuwa [[bibiarusi]] wa Yesu na mama wa roho za watu. Ndiyo maana siku hiyo aliandika sala iliyotokeza [[dira]] yote ya maisha yake, akimuomba Yesu, kama [[zawadi]] ya [[Upendo]] wake usio na mipaka, aweze kuwa mdogo kuliko wote, lakini hasa aliomba [[wokovu]] wa watu wote: “Leo kusiwe na roho yoyote ambayo ipotee milele”.
Mwaka [[1893]] aliteuliwa kuwa mlezi msaidizi wa [[wanovisi]], kazi aliyofanya kwa bidii na ufanisi mkubwa. Baadaye kwa maandishi yake yaliyoenea upesi duniani kote akawa mlezi wa umati wa watu akiwaelekeza kufuata [[Heri Nane]] alizotangaza [[Yesu]] mlimani.
Line 33 ⟶ 48:
Mwaka [[1894]], baada ya [[ugonjwa]] wa muda mrefu, mzee Louis Martin alifariki, na binti yake mwingine, Selina, aliyekuwa anamtunza, aliweza kujiunga na monasteri hiyo. [[Kamera]] yake imetuachia [[picha]] halisi za Teresa.
===Miaka ya mwisho===
Muhimu sana ni “Majitoleo kwa Upendo wenye Huruma” ambayo aliyafanya katika sikukuu ya [[Utatu Mtakatifu]] ya mwaka [[1895]] na yalifungua kipindi cha mwisho cha maisha yake mafupi kilichojaa mateso katika muungano na yale ya Yesu.
Mwezi [[Aprili]] [[1896]], alipatwa na [[TB]], ugonjwa uliokuja kumuua baada ya miezi 18. Mateso ya mwili yaliendana na yale ya ndani yanayojulikana kama "[[usiku wa roho]]" na ni [[jaribu]] kali la imani. Pamoja na Bikira Maria chini ya [[msalaba]] wa Mwanae, Teresa alifaulu kulishinda katika [[giza]] nene lilioenea ndani mwake. Alitambua kwamba alipaswa kupatwa na jaribu hilo kwa ajili ya wokovu wa [[wakana Mungu]] wote wa [[ulimwengu wa kisasa]], ambao aliwaita “[[ndugu]]”.
Alizidi vilevile kutekeleza [[upendo wa kidugu]]: kwa masista wa [[jumuia]] yake, kwa [[wamisionari]] wawili aliokabidhiwa awaombee, kwa mapadri na watu wote, hasa wale wa mbali zaidi, akawa kweli [[dada]] wa wote. Upendo wake wa kuvutia ulitokeza [[furaha]] ya dhati ambayo mwenyewe alifichua [[siri]] yake: “Ee Yesu, furaha yangu ni kukupenda wewe”.
Katika hali hiyo ya mateso, akitekeleza upendo wa hali ya juu katika mambo madogo ya maisha ya kila siku, Teresa alitimiza [[wito]] wake wa kuwa upendo katika [[moyo]] wa [[Kanisa]].
Katika [[barua]] yake ya mwisho, aliandika hivi juu ya [[picha]] ya [[Mtoto Yesu]] iliyochorwa ndani ya [[Hostie]] takatifu: “Siwezi kumuogopa Mungu aliyejifanya mdogo hivi kwa ajili yangu! … Mimi nampenda! Kwa kuwa yeye ni Upendo na Huruma tu!”
“Mimi amenipa Huruma yake isiyo na mipaka, na ni katika [[kioo]] hicho kisichosemeka kwamba nazingatia sifa zake nyingine za Kimungu. Hizo zote zinaonekana kwangu zinang’aa kwa upendo. Hata [[Haki]] yake, labda kuliko sifa nyingine, inaonekana kwangu imevikwa Upendo”.
Ndani mwake yalitimia maneno aliyoyandika: “Watakatifu wote walielewa, na kwa namna ya pekee labda wale waliojaza ulimwengu kwa [[mwanga]] wa mafundisho ya Injili. Haikuwa katika sala kwamba [[Mtume Paulo|Mt. Paulo]], [[Agostino wa Hippo|Mt. Augustino]], Mt. [[Yohane wa Msalaba]], Mt. [[Thoma wa Akwino]], [[Fransisko wa Asizi|Fransisko]], [[Dominiko GUzman|Dominiko]] na ma[[rafiki]] wa Mungu wengine wengi hivi walichota elimu ile ya ajabu ambayo iliteka akili bora?”
“Mimi nahitaji kufungua tu Injili takatifu ili ninuse mara [[manukato]] ya maisha ya Yesu, na hapo nijue njia ambayo nipige mbio juu yake; nami nakimbilia nafasi ya mwisho, si ile ya kwanza… Nahisi kwamba hata kama [[dhamiri]] yangu ingelemewa na makosa yote ya [[jinai]] yanayoweza kufanyika… kwa moyo uliovunjika kwa uchungu ningejitupa mikononi mwa Yesu [[Mwokozi]] wangu, kwa sababu najua anampenda [[mwana mpotevu]]”.
Tarehe [[10 Julai]] [[1897]] udhaifu ulimzuia asiendelee kuandika habari za maisha yake kama alivyoagizwa. Neno la mwisho aliloliandika katika sentensi isiyomalizika ni "upendo".
Alifariki tarehe [[30 Septemba]] 1897, mnamo saa 19:20, huku akitazama [[sanamu]] ya Msulubiwa aliyoishika mikononi na kusema, “Mungu wangu, nakupenda!”. Maneno hayo yalikuwa [[muhtasari]] wa maisha yake.
“Yesu, nakupenda” ndiyo yanayotawala maandishi yake yote. Kwa njia hiyo alizama katika Utatu Mtakatifu. Katika ma[[shairi]] yake aliandika, “Lo, unajua, Yesu Mungu, kuwa nakupenda / Roho wa Upendo ananiwasha kwa moto wake / Ni kwa kukupenda kwamba nampendeza Baba”.
== Heshima baada ya kufa ==
▲[[Picha:Basilique de Lisieux.JPG|left|thumb|250px|Basilika la Lisieux, lenye eneo la 4500 m<sup>2</sup> na urefu wa mita 95, lililojengwa kwa heshima yake mwaka [[1937]].]]
Mara baada ya kufa maandishi yake yalianza kusambaa kwa namna ya ajabu na kumvutia [[heshima]] ya wengi. Pia ilitokea [[miujiza]] iliyopatikana kwa maombezi yake. Ni kama alivyosema, kuwa atamimina [[mvua]] ya ma[[waridi]] kutoka [[mbinguni]], akitumia [[uzima wa milele] kutenda mema mengi duniani.
Line 45 ⟶ 78:
==Njia yake ya kiroho==
“Njia ndogo ya tumaini na upendo”, njia ya "[[utoto wa kiroho]]” aliyoielekeza inafundisha kutimiza sharti la Yesu: “Msipoongoka na kuwa kama vitoto, hamtaingia katika [[ufalme wa mbinguni]]” ([[Math]] 18:3). Njia hiyo inatia moyo wa kujitoa kikamilifu kama kikafara kwa [[wokovu]] wa [[ulimwengu]]. Mwenyewe aliifuata hata akasema: “Kupenda ni kutoa yote, na kujitoa pia”. “Sijawahi kumnyima chochote [[Mungu]] mwema!”
[[Siri]] yake ni nguvu ya [[upendo]], ambao Teresa alitambua ndio [[wito]] wake katika [[Kanisa]]: kuwa [[moyo]] wa [[Mwili wa Kristo]] ili kusaidia viungo vyake vyote kufanya kazi vizuri.
==Sala zake==
Line 133 ⟶ 166:
{{Walimu wa Kanisa}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1873]]
|