Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 81 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q9649 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula''' ni
Kwa lugha nyingine unahusika na umeng'enyaji wa [[chakula]] mpaka kuwa katika hali inayoweza kusharabiwa na mwili. Ili chakula kiweze kutumika mwilini, ni lazima kivunjwevunjwe kiwe katika hali rahisi ya kuweza kusharabiwa. Kazi hiyo hufanywa na mfumo wa mmeng’enyo wa chakula. Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula wa mwanadamu hufanana na ule wa [[sungura]], [[panya]] au [[pimbi]]. Sehemu kuu zinazohusika katika umeng’enyaji huo ni [[kinywa]], [[umio]], [[mfuko wa tumbo]], [[ini]], [[mfuko wa nyongo]], [[utumbo mwembamba]], [[kongosho]], [[utumbo mpana]] na [[puru]]. Chakula kinaposafiri katika njia yake hufanyiwa
Chakula cha mnyama au binadamu huweza kuwa cha [[kabohaidreti]]/[[wanga]], [[protini]], [[fati]] au mchanganyiko wa vyakula hivyo. Myeyuko wa makundi hayo ya vyakula hutokea katika sehemu mbalimbali za [[njia ya chakula]] kwa njia za kemikali.
|