Chakula : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
[[Picha:FoodMeat.jpg|thumb|200px|Aina za [[nyama]].]]
 
Chakula ni kile kinacholiwa na watu kwa kudumisha maisha yao. [[Mwili]] unahitaji lishe[[virutubishi]], nishati na maji. Haya yote hupatikana katika chakula.
 
Mahitaji[[Virutubishi]] yavya mwili ni hasa yafuatayo:
* [[protini]]
* [[mafuta]]
Mstari 10:
* [[vitamini]] na [[madini]].
 
Protini, mafuta na wanga huleta nishati kwa mwili. Vilevile hukuza mwili yaani katika [[mfumo wa mmeng'enyo wa chakula]] (tumboni) zinapasuliwa katikakwa sehemu asilia zao na kuingizwa katika muundo wa seli za mwili.
 
Chakula kinatoka kwenye mimea na pia kwenye wanayama. Sehemu ya mahitaji yanatoka pia moja kwa moja kwenye mazingira bila kupita mimea au wanyama hasa madini kwa mfano [[chumvi]].