Kihindi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Bot: Migrating 6 interwiki links, now provided by Wikidata on Q1568
+ hindustani
Mstari 4:
 
Lugha imetoka katika [[Sanskrit]] ya kale iliyokuwa lugha ya chanzo cha utamaduni wa Uhindi.
 
==Kihindi, Kiurdu na Kihindustani==
Kihindi ni umbo la lugha ya [[Kihindustani]] nchini India. Kihindustani ilikuwa jina la pamoja katika Uhindi wa kaskazini kabla ya ugawaji wa mwaka 1947 mwisho wa ukoloni na kuanzishwa kwa nchi huru za [[Pakistan]] na India. Baada ya uhuru lugha ya pamoja ya awali iliitwa "Kihindi" upande wa India na "[[Kiurdu]]" upande wa Pakistan. Hali halisi lugha hizi mbili ni kama lugha 1 hata kama Urdu huandikwa kwa [[herufi za Kiarabu]] na Kihindi kwa herufi za [[Devanagari]].
 
{{mbegu-lugha}}