Galaksi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 117 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q318 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Andromeda galaxy.jpg|thumb|300px|
'''Galaksi''' ni [[kundi]] la [[nyota]] nyingi zinazoshikamana pamoja katika [[anga la
Kuna galaksi nyingi sana [[ulimwengu]]ni. Kwa [[wastani]] kila galaksi imekadiriwa kuwa na nyota kama [[bilioni]] 100 lakini kuna galaksi kubwa na ndogo.
Galaksi yetu ikiwemo [[mfumo wa jua]] letu imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya 300,000,000,000. Sehemu ya nyota hizi zinaonekana kama kanda la kung'aa kwenye anga la usiku linalojulikana kama [[njia nyeupe]]. Umbo lake unafanana na kisahani ikiwa kipenyo chake ni [[mwaka wa nuru|miaka ya nuru]] 100,000 ikiwa na unene wa miaka ya nuru 3,000. Galaksi ya jirani iliyo karibu angani inaitwa [[Andromeda]] ina umbali wa miaka ya nuru milioni 2.5 .▼
▲Galaksi yetu, ikiwemo [[mfumo wa jua]] letu, imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya 300,000,000,000. Sehemu ya nyota hizi zinaonekana kama [[kanda]] la kung'aa kwenye [[anga]] la [[usiku]] linalojulikana kwa [[rangi]] yake kama [[njia nyeupe]] au njia ya [[maziwa]] ([[kiowevu]] hicho kwa [[Kigiriki]] kinaitwa "galax"). Umbo lake unafanana na kisahani
Idadi kamili ya galaksi zote angani haijulikani. Kuna makadirio ya kwamba idadi ya galaksi bilioni inaweza kuangaliwa kwa vyombo vinavyopatikana. Hadi sasa sehemu ndogo tu imehesabiwa lakini mara kwa mara galaksi mpya zinatambuliwa kwa njia ya darubini au vyombo vya angani. ▼
Galaksi iliyo karibu angani inaitwa [[Andromeda]] na ina umbali wa miaka ya nuru milioni 2.5.
▲[[Idadi]] kamili ya galaksi zote angani haijulikani. Kuna
Galaksi zinazojulikana zimepewa namba katika orodha ya kimataifa ya [[wanasayansi]] wa [[astronomia]].▼
▲Galaksi zinazojulikana zimepewa namba katika orodha ya kimataifa ya wanasayansi wa [[astronomia]].
{{mbegu-sayansi}}
|