Kipindupindu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
kurahisisha chanzo cha makala
ambukizo
Mstari 18:
| isbn = 978-1-904455-33-2
}}</ref>
==Ambukizo==
Kipindupindu husababishwa na bakteria aina ya [[vibrio cholerae]] vinavyosababisha kuhara majimaji yenye rangi kama maji ya kupikia mchele. Bakteria hii ilitambuliwa mwaka 1854 na [[Filippo Pacini]]. [[Robert Koch]] alifaulu mwaka 1833 kufuga bakteria kutokana na utumbo wa wagonjwa waliokufa kipindupindu huko Misri.
 
Kipindupindu hutokea hasa katika nchi pasipo na maji safi hasa ambako maji ya kunywa na maji ya choo yanaweza kuchanganywa. Bakteria ya vibrio cholerae hupatikana hasa katika mavi na maji ya choo na pia katika maji ya bahari, maziwa na mito kama maji machafu huingizwa katika magimba ya maji bila kusafishwa kabla.
 
Vilevile samaki na vyakula vingine kutoka maji yenye bakteria haya zinachafuliwa na zinaweza kusababisha ambukizo. Vilevile vyakula vinavyooshwa kwa maji yaliyochafuliwa na bakteria ya kipindupindu.
 
Katika mazingira penye maji ya bomba yaliyosafishwa na karakana ya kusafisha maji machafu kipindupindu hutokea mara chache tu. Kujulikana kwa njia za kuambukizwa kulikuwa sababu ya kuanzishwa na kugharamiwa kwa teknolojia hizi katika nchi nyingi.
 
 
== Matibabu ==