Madagaska : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kuondoa vigezo visivyofaa na vinginevyo |
No edit summary |
||
Mstari 54:
|}
[[Picha:Madagascar-carte.png|thumb|right|200px|
'''Jamhuri ya Madagaska''', au '''Madagaska''' (pia: '''Bukini'''), ni [[kisiwa]] cha [[Bahari Hindi]] [[mashariki]] kwa [[pwani]] ya [[Afrika]].
Kisiwa chenyewe, ambacho kinajulikana kama Madagaska, ni [[Orodha ya visiwa duniani|kisiwa cha nne kwa ukubwa duniani]].
Kisiwa hicho ni pia [[mazingira]] makubwa ya aina ya [[violezo]] ambayo ni asilimia 5 ya violezo vyote vya [[mimea]] na [[wanyama]] vya [[dunia]]. Asilimia 90 ya viumbe asili ni maalumu ya Madagaska, kama vile wanyama aina ya [[tumbili]] wanaoitwa [[lemur]], [[ndege]] ambao wasambukiza [[ugonjwa]] na [[mti]] wa [[mbuyu]].
Jina Madagaska lina maana ya "Kisiwa kikubwa" na linatoka katika jina la wenyeji, [[Wamalagasi]] ambao waongea [[Kimalagasi]].
== Historia ==
Madagaska ni kati ya maeneo ya mwisho kufikiwa na kukaliwa na [[binadamu]]. Wa kwanza walitokea visiwa vya [[Indonesia]] (kama mwaka [[350]]-[[550]] [[BK]]). Baadaye tu walihamia watu kutoka [[bara]] la Afrika (mwaka [[1000]] hivi) na wengineo ([[Waarabu]], [[Wahindi]], [[Wazungu]], [[Wachina]] n.k.).
== Siasa ==
== Jiografia ==
{{seealso|Mikoa ya Madagaska|Orodha ya miji ya Madagaska}}
Upekee wa kisiwa unatokana na kwamba kilimeguka kutoka [[India]] miaka milioni 88 hivi iliyopita, halafu kilibaki bila watu hadi [[karne ya 5]] hivi BK.
==
== Uchumi ==
== Uhusiano
== Watu ==
[[File:Madagascar Kids 5 (4814978342).jpg|thumb|Mtoto wa Kimalagasi anayeonyesha kuwa na mchanganyiko wa damu.]]
Mwaka [[2012]] idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa milioni 22. Wenyeji wengi wana mchanganyiko wa [[damu]]: [[DNA]] inaonyesha kuwa wakazi wa kwanza kutoka Indonesia wameichangia asilimia 50 hivi na Waafrika vilevile. Wanaoishi sehemu za ndani ni wa Kiindonesia zaidi, wakati wale wa pwani ni wa Kiafrika zaidi.
=== Lugha ===
[[Lugha rasmi]] za Madagaska ni Kimalagasi na [[Kifaransa]].
=== Dini ===
Nchini Madagaska kuna [[dini za jadi]] (52% hivi), [[Ukristo]] (41%, [[Waprotestanti]] wakiwazidi kidogo [[Wakatoliki]]), [[Uislamu]]
== Utamaduni ==
Pamoja na kutokea mazingira tofauti sana, Wamalagasi wamechanganyikana sana na kuwa na [[utamaduni]] na lugha aina moja, ya Kiindonesia zaidi.
==
=== Serikali ===
=== Habari ===
▲=== Mwendo ===
=== Utalii ===
{{Afrika}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Madagaska|*]]
|