Wakatoliki wa Kale : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 34 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q5169816 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Sint-Gertrudiskathedraal.JPG|thumb|[[Kanisa kuu]] la Mt. [[Gertrude]] huko [[Utrecht]], [[Uholanzi]]. Ni mama wa ma[[kanisa]] yote ya Wakatoliki wa Kale.]]
'''Wakatoliki wa Kale''' ni jina linalotumika kujumlisha [[Ukristo|Wakristo]] wa Magharibi ambao wametengana na [[Askofu wa Roma]] hasa baada ya [[Mtaguso wa kwanza wa Vatikano]] ([[1869]]-[[1870]]) kutangaza [[dogma]] ya [[Papa]] [[kutoweza kukosea]] anapotamka rasmi jambo fulani kama fundisho la kudumu moja kwa moja. Wakristo hao walijipatia [[
[[Imani]] na [[liturujia]] zao zinafanana na zile za [[Kanisa Katoliki]], lakini taratibu zimekwenda mbali.
Baadhi ya Makanisa ya namna hiyo yanaunda "[[Umoja wa Utrecht]]" ulioanzishwa mwaka [[1889]] na kuwa na waamini 115,000 duniani mwaka [[2013]].
{{mbegu-Ukristo}}
[[Jamii:Ukristo]]
|