Jumapili : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 179 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q132 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
'''Jumapili''' ni [[siku]] ya kwanza katika [[juma]] (wiki) ya siku saba yenye asili ya [[Uyahudi|kiyahudiKiyahudi]]-[[Ukristo|kikristoKikristo]]. Iko kati ya siku za [[Jumamosi]] na [[Jumatatu]].

Kwa [[Wakristo]] walio wengi ni siku ya sala za pamoja kanisani[[kanisa]]ni.
 
== Kiswahili, Kiarabu na utamaduni wa Kiislamu ==
Katika [[lugha]] ya [[Kiswahili]] jina la siku lina namba "2" ndani yake. HiiHili ni [[dokezo]] la [[asili]] ya Kiswahili katika [[utamaduni]] ya Kiislamu pasipo na [[athira]] ya [[Uyahudi]] unaoanza [[hesabu]] baada ya [[sikukuu]] ya Kiislamu ya [[Ijumaa]], siku ya sala ya pamoja: [[Jumamosi]] kama siku ya kwanza baada ya Ijumaa, [[Jumapili]] kama siku ya pili, Jumatatu kama siku ya tatu n.k..

[[Tabia]] hii katika Kiswahili ni ya pekee, hasa kwa sababu [[Kiarabu]], ambacho ni lugha ya [[Korani]] takatifu na lugha ya kimataifa ya [[Waislamu]], kinafuata hesabu ya Kiyahudi na kuiita siku "al-ahad" yaani "ya kwanza".
 
== Siku ya jua, siku ya Bwana, siku ya ufufuo ==
Katika [[lugha za Kigermanik]] siku hii ina jina la "[[jua]]". Lugha hizihizo, kama [[Kiingereza]] auna [[Kijerumani]], zinaendeleza [[urithi]] wa [[Roma ya Kale]] na zaidi wa [[Babiloni]] ambako kila siku ya wiki ilikuwa chini ya [[mungu]] fulani aliyeonekana kama [[nyota]] au [[sayari]].
 
Kundi lingine la lugha linatumia lugha[[msamiati]] "[[siku ya Bwana]]" yaani "[[Bwana]] [[Yesu Kristo]]". Ni hasa [[lugha za Kirumi]] kama [[Kifaransa]] (dimanche), [[Kiitalia]] (domenica), [[Kihispania]] (domingo) na kadhalika.
 
Lugha ya [[Kirusi]] inaita siku hii "voskresenye" yaani siku ya ufufuoufufuko.
 
== Uzoefu wa Kikristo ==
Wakristo wa [[madhehebu]] mengi (isipokuwa [[Wasabato]]) wanatazama Jumapili kama siku ya mapumzikoma[[pumziko]] iliyochukua nafasi ya [[Sabato]] iliyotajwa kwenye [[Amri Kumi]] za [[Agano la Kale]].

Sababu ya badiliko hilo lilitokea tangu [[karne ya 1]] ni ufufuoumuhimu wa Kristo[[ufufuko unaokumbukwawa Yesu]] uliotokea kwenye siku ya kwanza ya juma kufuatana na habari za [[Agano Jipya]].
 
Kadiri Wakristo wa mwanzo walivyozidi kushindana na Wayahudi wasiomuamini Yesu, walizidi kuzingatia Jumapili kuliko Jumamosi, hasa baada ya kufukuzwa kutoka ma[[sinagogi]] katika [[miaka ya 80]] BK.
 
== Jumapili katika lugha mbalimbali ==
Line 43 ⟶ 51:
|-
|}
 
 
 
{{Siku za juma}}