Beda Mheshimiwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 37:
Aliendelea kuandika maisha yake yote, akimaliza vitabu zaidi ya 60, vingi vikiwepo hadi leo.
[[Biblia]] ilikuwa daima chanzo kikuu cha [[teolojia]] yake. Baada ya kuchunguza [[nakala]] ipi ni sahihi zaidi, aliifafanua Kikristo, akijitahidi kuelewa vizuri maneno yanasema nini, lakini kwa [[mwanga]] wa Kristo aliye [[ufunguo]] wa Maandiko yote katika [[umoja]] wake wa dhati. Kwake matukio ya [[Agano la Kale]] na ya [[Agano Jipya]] yanakwenda pamoja kuelekeza kwa Kristo.
Mada nyingine aliyoipenda sana ni [[historia ya Kanisa]], kutokana na [[imani]] ya kwamba [[Roho Mtakatifu]] anazidi kufanya [[kazi]] ndani yake. Hivyo alipitia wakati wa [[Mitume wa Yesu|Mitume]], halafu [[
Vilevile alihesabu kitaalamu tarehe sahihi ya [[Pasaka]], iliyo [[kiini]] cha mwaka mzima wa [[liturujia]], akihimiza [[Wakristo]] wenyeji wa Uingereza na [[Ireland]] wakubali wote [[utaratibu]] wa [[Roma]] kuhusu mambo hayo. Kweli alichangia kuunganisha katika Ukristo mataifa
[[Hotuba]] zake zilifaulu kuongoza waamini waadhimishe vema mafumbo ya imani na kuyatekeleza maishani, huku wakitarajia [[ujio wa pili]] wa [[Yesu]] ili kuingizwa naye katika [[liturujia ya mbinguni]].
Akifuata masisitizo ya
Alihimiza [[walei]] wawe na [[bidii]] katika kupata mafundisho ya [[dini]] na kuwashirikisha mapema [[watoto]] wao. Pia wasali mfululizo kwa kutolea matendo yao yote kama [[sadaka ya kiroho]] pamoja na Kristo.
|