Meno : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
jamii |
viungo |
||
Mstari 32:
Sehemu kubwa ya jino ni mfupa laini unaoitwa [[dentini]]. Dentini kwenye sehemu ya tajino au kichwa hufunikwa kwa [[gamba la jino]]. Kichwa ni cha ufupa mgumu sana wenye rangi nyeupe ya kung’aa unaoitwa [[enameli ya jino]]. Kazi yake ni kulinda mfupa laini zaidi ya ndani. Pembe ya shina hulindwa na tabaka aina ya [[saruji]] ijulikanayo kwa jina la kitaalamu kama [[sementi ya jino]] ''(ing. cementum)''.
Katikati hasa ya
Ndani ya jino kuna uwazi mwenye tishu ya [[neva]] na [[mishipa ya damu]]. Neva pamoja na mishipa ya damu huingia katika mvungu penye ncha ya kizizi cha jino.
|