Meno : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
jamii
viungo
Mstari 32:
Sehemu kubwa ya jino ni mfupa laini unaoitwa [[dentini]]. Dentini kwenye sehemu ya tajino au kichwa hufunikwa kwa [[gamba la jino]]. Kichwa ni cha ufupa mgumu sana wenye rangi nyeupe ya kung’aa unaoitwa [[enameli ya jino]]. Kazi yake ni kulinda mfupa laini zaidi ya ndani. Pembe ya shina hulindwa na tabaka aina ya [[saruji]] ijulikanayo kwa jina la kitaalamu kama [[sementi ya jino]] ''(ing. cementum)''.
 
Katikati hasa ya [[cementum]]sementi ya jino na [[mfupa wa taya]] kuna utando, ambao unasaidia kukuza jina katika [[kitundu cha taya|kitundu]] chake, nao (utando huo) hulingana na [[ufizi wa meno]].
 
Ndani ya jino kuna uwazi mwenye tishu ya [[neva]] na [[mishipa ya damu]]. Neva pamoja na mishipa ya damu huingia katika mvungu penye ncha ya kizizi cha jino.