Sentensi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
+kuifanya iwe kiwiki zaidi
Mstari 1:
'''Sentensi''' ni kipashio kikubwa cha kimuundo ambacho kimeundwa na kirai nomino(KN) na kirai kitenzi(KT) ambacho hutoa taarifa fulani. kimsingi kirai nomino kinamiundo mbalimbali katika lugha ya kiswahiliKiswahili. miundo hiyo ni kama vile;
{{umbo}}
Sentensi ni kipashio kikubwa cha kimuundo ambacho kimeundwa na kirai nomino(KN) na kirai kitenzi(KT) ambacho hutoa taarifa fulani. kimsingi kirai nomino kinamiundo mbalimbali katika lugha ya kiswahili. miundo hiyo ni kama vile;
 
*Mfano wa nomino pekee:- '''mama''' anapika.
*Mfano wa nomino na kivumishi:- '''kijana mrefu''' amepotea.
*Mfano wa nomino na kibainishi:- ''juma bakari'' ni mwanafunzi.
==Aina za sentensi==
{{kuu|Tungo sentensi}}
kunaKuna aina kuu nne za sentensi nazo ni:
 
*Sahili
*Shurutia
*Ambatano
*Changamano
==Muundo wa sentensi==
Sentensi huundwa kwa sehemu kuu mbili:
 
*[[Kiima]] (K)
*[[Kiarifu]] (A)
==Tazama pia==
*[[Lango:Lugha]]
*[[Tungo kishazi]]
 
{{aina za maneno}}
{{mbegu-lugha}}
 
[[Jamii:Sarufi]]
 
AINA ZA SENTENSI
 
kuna aina kuu nne za sentensi nazo ni:
 
(1)sahili
(2)shurutia
(3)ambatano
(4)changamano