Chama cha Mapinduzi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 13 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q652091 (translate me) |
→Itikadi: picha |
||
Mstari 2:
== Itikadi ==
[[File:CCM stronghold in rural Tanzania.jpg|thumb|CCM kina wafuasi wengi vijijini.]]
Kwa miaka mingi CCM ilikuwa ikifuata siasa ya [[Ujamaa na Kujitegemea]]. Itikadi hii ilipewa nguvu za kisera mwaka 1967 lilipotangazwa [[Azimio la Arusha]]. Kutokana na azimio hilo uchumi uliwekwa mikononi mwa umma. Itikadi hii pia ilisisitiza umuhimu wa kuishi pamoja hasa katika vijiji vya Ujamaa.
|