Hosea : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
repair link
Mstari 11:
Aliitwa kuoa [[kahaba]] ili awaonyeshe Waisraeli katika matatizo ya [[ndoa]] yake jinsi [[Mungu]] alivyopenda [[taifa]] hilo ingawa linapenda kufuata miungu mingine badala ya kuwa aminifu kwake tu. Kwa mfano hai wa Hosea, Mungu alitaka waelewe kwamba kwa kuwapenda na pengine kuwaadhibu analenga tu hatimaye wampende kwa [[moyo]] wote.
 
Sura 1-3 zinasimuliaza [[Kitabu cha Hosea]] zinasimulia alivyompenda mke wake aliyemzalia watoto wa [[uzinzi]], hata hivyo akaendelea kumpenda na kumtafuta hata baada ya kumfukuza, akamkomboa na kumrudisha ili ambembeleze zaidi na hatimaye amfanye amrudishie [[upendo]] kama wakati wa [[uchumba]]. Hivyo [[adhabu]] yenyewe ilitokana na upendo na kulenga [[umoja]] wa [[dhati]].
 
Hata Mungu, baada ya kuacha Israeli ishindwe na [[Waashuru]], ataendelea na upendo wake kwa wenzao wa kusini, akiwabakiza kama [[mbegu]] (ndio “mabaki ya Israeli” yaliyozungumziwa kwanza na Amosi): mpango wa [[Bwana]] unapitia [[hatua]] mbalimbali lakini haukatiki kamwe.