Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 41 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q107358 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kiyunani'''
Neno la Kiswahili cha zamani limetokana na lugha ya [[Kiarabu]] ambapo <big>يونان</big> ''yunan''
Leo hii si la kawaida sana, lakini
Ni kwamba miaka ya nyuma neno "Kigiriki" limezidi kusambaa zaidi kati ya wanaoongea Kiswahili, kutokana na [[athira]] ya [[Kiingereza]] kinachotumia maneno "Greece, Greek" kutoka [[Kilatini]] "Graeci", ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya.
Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", na lugha yao "Helleniki".
{{DEFAULTSORT:Yunani}}
|